salva kiir

Salva Kiir Mayardit (born 13 September 1951), also known as Salva Kiir, is a South Sudanese politician who has been the President of South Sudan since its independence on 9 July 2011. Prior to independence, he was the President of the Government of Southern Sudan, as well as First Vice President of Sudan, from 2005 to 2011. He was named Commander-in-Chief of the Sudan People's Liberation Army (SPLA) in 2005, following the death of John Garang.

View More On Wikipedia.org
  1. Dalton elijah

    Rais Salva Kiir ameteua Mjumbe aliyekufa kwenye Baraza la Mawaziri

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemteua bila kukusudia mtu aliyekufa kuwa mjumbe wa kamati itakayoandaa uchaguzi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Msemaji wa ofisi ya rais amesema hii leo kwamba mamlaka zilipitiwa wakati wa uteuzi baada ya Steward Sorobia Budia, mwanasiasa wa zamani wa...
  2. SSH2025_2030

    Peter Msechu aelekea Juba, Sudani ya Kusini

    1. Kama mnavyojua Sudani Kusini imepata Uhuru wake 2013. 2. Salva Kiir atakumbukwa kwa kuipitisha nchi hiyo kwenye mikwamo mingi. 3. Alichoka hadi akachoka tena. Ila kifo ndo mwamuzi. **Juba ipo busy na Maandalizi ikiwamo mwaliko wa Peter Msechu kuhitimisha
  3. Mindyou

    Serikali ya Sudan Kusini yakanusha uvumi wa kifo cha Rais wa nchi hiyo Salva Kiir

    Serikali ya Sudan Kusini kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imekanusha uvumi unaosambaa kuhusu hali ya afya ya Rais Salva Kiir Mayardit. Kupitia taarifa rasmi, wizara imethibitisha kuwa Rais Kiir yuko hai, anaendelea vizuri kiafya na anaendelea kutekeleza majukumu yake...
  4. Dalton elijah

    Salva Kiir Aomba Utulivu Kufuatia Shambulizi Dhidi ya Helikopta ya Umoja wa Mataifa

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametoa wito wa utulivu nchini humo kufuatia kushambuliwa kwa helikopta ya Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa. Kulingana na jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda amani Sudan Kusini (UNMISS) watu kadhaa wanahofiwa kufa na wengine kujeruhiwa baada ya helikopta ya Umoja...
  5. Don Gorgon

    Sudan Kusini: Rais Salva Kiir awafuta kazi Mkuu wa Jeshi, Mkuu wa Polisi, na Gavana wa Benki Kuu

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amefanya mabadiliko makubwa ya uongozi kwa kumfuta kazi mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi, na gavana wa benki kuu, kwa mujibu wa tangazo la shirika la habari la serikali SSBC. Hakutoa sababu za mabadiliko hayo. Paul Nang Majok...
  6. Tlaatlaah

    Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudani Kusini ana Makamu wa Rais watano 5, kulikoni?

    Sudan Kusini ni miongni mwa mataifa changa sana barani Afrika, hususani Afrika Mashariki, iliyopata uhuru wake tarehe 9 July 2011, kutoka Sudan. takwimu za mwaka 2023 zinaonyesha kwamba Sudan Kusini ina jumla ya watu zaidi ya milioni 11. Nchi hiyo yenye utitiri wa mali asili wa kipekee sana, na...
  7. BARD AI

    Sudan Kusini: Rais Salva Kiir amfuta kazi Waziri wa Mambo ya Nje

    Mayiik Ayii Deng amefutwa kazi kupitia tangazo lilitolewa kupitia Runinga ya Taifa bila kuwepo kwa taarifa zaidi za sababu ya kuondolewa kwake. Waziri huyo ni mtu wa karibu wa Rais Kiir na amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais. Kiir amechukua uamuzi huo ikiwa ni Wiki moja tangu amfute kazi...
Back
Top Bottom