Wasalam,
Kumekuwa na wimbi kubwa la wadau hapa JF kutaka kujua taarifa mbalimbali za jinsi watakavyoweza kutoka nje ya mipaka ya nchi hii aidha afrika ama nje ya bara hili, Wapo wenye lengo la kutoka kimasomo, kutafuta kazi, kuzamia n.k.
Wadau mbalimbali wamekuwa wakija na nyuzi mbali mbali...