s2kizzy

Salmin Kasimu Maengo (born 9 May 1996)popularly known by his producer-artist name S2KIZZY, is a Tanzanian record producer and songwriter. He is best known for producing Bongo Flava songs "Amaboko" and "Tetema" by Rayvanny featuring Diamond platnumz. He has produced albums for and overseen the careers of Diamond Platnumz, Rayvanny, Bill Nass and Vanessa Mdee. He is credited as a 'super-producer' in contemporary Bongo-Flava, Bongo-Trap, Afrobeats and Afro-pop.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Lamar Fishcrab auliza swali moja tu Kuhoji ubora wa S2Kizzy Kamtoa msanii gani undergeround?

    Je, producer mkali hapimwi kwa kutengeneza hits za wasanii wakubwa pekee wenye mashabiki na nguvu ya kusambaza kazi zao, bali pia unapimwa kwa uwezo wa kumtoa msanii underground mpaka kuwa star. https://www.youtube.com/watch?v=BQqztrwJQP8
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania S2kizzy sio producer bora bali ni producer maarufu

    Dunia ya muziki wa Tanzania imekuwa ikipitia mageuzi makubwa kwa miongo kadhaa. Kila zama imezaa nyota zake – kuanzia wasanii, watunzi, waimbaji, hadi watayarishaji muziki (producers). Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu kujianika hadharani na kujinadi...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania S2kizzy alivyoingia ukumbini baada ya kutangazwa jaji mpya wa Bongo Star Search msimu wa 15

    Producer wa muziki Bongo, S2kizzy alivyoingia ukumbini baada ya kutangazwa jaji mpya wa Bongo Star Search msimu wa 15.
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wanachuo kibao walala nje ya studio za S2kizzy ili warekodi wimbo

    Hakuna ubishi kuwa S2kizzy aka Zombie ndiye producer mkali sana hivi sasa na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuachia hit songs tu na kujijengea heshima ndani na nje ya Bongo. Hivi karibuni S2Kizzy alitangaza ku-record wimbo bure kwa wanafunzi wa chuo, na habari hii ilivutia umati mkubwa. Jana...
Back
Top Bottom