russia na china

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kila nikikumbuka la Maduro, naona Russia na China sio watu wa kuwaamini sana

    Sijui kwanini Malawi inaelekeza matumaini yake kwa hao Hususani wa Russia... Mara ohh sijui Malawi haichaguliwi maadui wala marafiki... Ni sawa lakini maslahi ya Taifa yapo at stake... Mchina mfano binafsi sioni akiifaidisha Tanzania kama closed partner... Ona bidhaa feki zimetapakaa huko...
  2. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Taifa lolote Masikini kama Tanzania kuwa mshirika Mkuu wa Russia na China ni Kujiangamiza kiuchumi

    Guys Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno. Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu. Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama...
  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Russia na China walivyomfanya Iran katika picha

Back
Top Bottom