Taifa lolote Masikini kama Tanzania kuwa mshirika Mkuu wa Russia na China ni Kujiangamiza kiuchumi

Taifa lolote Masikini kama Tanzania kuwa mshirika Mkuu wa Russia na China ni Kujiangamiza kiuchumi

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,983
Reaction score
21,573
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
 
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
Ongezea na Syria, CAR, Belarus
 
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
hiyo ni dhana potofu na fikra ya kimaskini gentleman kwa nyakati hizi za kidigitali 🐒
 
China inapenda sana upate matatizo, utengwe na Dunia, halafu yenyewe ichukue rasilimali zako kwa bei chee, kwa sababu huna options.

China itakuwa inasubiria kwa hamu kubwa Tanzania iwekewe vikwazo ili yenyewe ijiokotee madini na kila kitu cha Tanzania, kama ilivyo kwa Zimbabwe.

Nchini Zimbabwe, baada ya makampuni ya wazungu kuondoka, China imechukua mamia ya milima bila gharama yoyote, inafanya uchimbaji wa dhahabu kienyeji kabisa ikijua haina mshindani yeyote.
 
Nchi hii wasomi wa sayansi za siasa hawapewi nafasi za kuwa front line kushauri serikali, wanapewa machawa matokeo yake ndio hayo. Tunaingia kwenye wrong motion kama nchi wakati ambapo tunapitia kipindi kigumu ndani na nje ya nchi yetu.
 
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
Wenzio wakitoka kulala wananawa maji ya uvuguvugu usoni.
 
China inapenda sana upate matatizo, utengwe na Dunia, halafu yenyewe ichukue rasilimali zako kwa bei chee, kwa sababu huna options.

China itakuwa inasubiria kwa hamu kubwa Tanzania iwekewe vikwazo ili yenyewe ijiokotee madini na kila kitu cha Tanzania, kama ilivyo kwa Zimbabwe.

Nchini Zimbabwe, baada ya makampuni ya wazungu kuondoka, China imechukua mamia ya milima bila gharama yoyote, inafanya uchimbaji wa dhahabu kienyeji kabisa ikijua haina mshindani yeyote.
Africa tuna mkosi sana wa rasilimali
 
China inapenda sana upate matatizo, utengwe na Dunia, halafu yenyewe ichukue rasilimali zako kwa bei chee, kwa sababu huna options.

China itakuwa inasubiria kwa hamu kubwa Tanzania iwekewe vikwazo ili yenyewe ijiokotee madini na kila kitu cha Tanzania, kama ilivyo kwa Zimbabwe.

Nchini Zimbabwe, baada ya makampuni ya wazungu kuondoka, China imechukua mamia ya milima bila gharama yoyote, inafanya uchimbaji wa dhahabu kienyeji kabisa ikijua haina mshindani yeyote.
Mchina Hajengi hata Barabara wala hata kisima cha maji kwa watu maskini, ni kama Mwarabu Tu akijengaa Kisima basi ni Maji ya kitawadha Tu mskitini
 
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
Wanatoa shahada za heshima za uongozi lakini!
 
Guys

Kwa ambao huwa.hamfuatilii mambo ya kisiasa kiufupi Russia ni mpuuzi tu mbwa asiyekuwa na meno.

Russia kashawaingiza wengi mkenge kama South africa, Cuba, Zimbabwe na Venezuela hata hiyo BRICS haina lolote la maana wamekutana wanafiki tupu.

Naomba mfuatilie hali ya maisha ya CUBA kama case study.mshirika mkuu wa russia mtatoa machozi hata Tanzania kujinasibisha na Russia ni kupoteza mda na kujitia katika matatizo zaidi umaskini.

Russia na china hawajawhi kuwa na msaada wowote wa maana kwa yeyote
We are a laughing stock
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom