router za 5g

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Je router gani inafaa kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani !!!

    Watu wengi wanakimbilia kununua router za Airtel, Vodacom, Tigo au Ttcl kwa Matumizi mbalimbali bila kujua utofauti wao uliopo kuhusu hizo router. Sasa Leo nakupa maujanja kutokana na ripoti mbalimbali za mitandaoni nakuambia router gani nzuri kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani ili kuwa salama...
  2. Mosri_Telematics

    JamiiForums Tanzania YAS 4G & 5G UNLIMITED INTERNET🛜🔥

    Je, Unahitaji YAS 4G au 5G UNLIMITED Router? Kwa ajili ya Ofisi au Nyumbani kwako? Karibu sana tukuhudumie Leo, 📢 YAS 4G+ Pocket Mi-Fi @ 120,000/= ✔️ Kifaa / Pocket ni Tsh. 50,000/= ✔️ Unlimited Mwezi 1 ni Tsh. @ 70,000/= ✔️ Battery (Masaa 6) ✔️ Malipo/Mwezi: 70,000 (10Mbps) ✔️ Vifaa 10...
  3. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Nauza Airtel 5G SmartBox Router

    Nimetumia miezi miwili tu Iko full box Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS +255676095799
  4. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    Kama tangazo linavyojieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurushi cha 70k 10Mbps, router ninayo. Je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router!
  5. lucky_boy

    JamiiForums Tanzania Router za 5g postpaid ni mkenge au kuna faida?

    Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika, sasa nataka kupata neno kwa aliyebahatika kuzitumia. Ni kwa matumizi binafsi lakini hapo mbeleni...
Back
Top Bottom