rigathi gachagua

Geoffrey Rigathi Gachagua (born 1965) is a Kenyan politician who is serving as the 12th and current deputy president of Kenya since September 2022. He previously served in multiple capacities in public administration such as Assistant Secretary in the Ministry of Home Affairs & National Heritage, Personal Assistant to the Head of the Public Service, Personal Assistant to Uhuru Kenyatta, who was then Minister for Local Government and as a District Officer.
He was elected as the Member of Parliament for Mathira Constituency, Nyeri County from 2017 to 2022 under the Jubilee Party. Gachagua ran for the Deputy President in the 2022 Kenyan General Election on a joint ticket with William Ruto's running mate under the United Democratic Alliance party, winning with just over 50% of the votes.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Gachagua: Tupeni Miezi 3, Tutatatua Mgogoro wa Kiuchumi

    Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema Serikali ya Awamu ya 5 imerithi Uchumi mbaya kutoka katika awamu iliyopita na kuwataka Wananchi kuwa na subira maana Ndani ya Siku 90 hadi 100 Uchumi utaimarika Amesema, "Hali ni mbaya sana, hakuna pesa katika Hazina, na kidogo tunachokusanya...
  2. B

    Naibu Rais Mh Rigathi Gachagua: Tunaingia ofisini Kenya ikiwa na serikali imefilisika kifedha na kiuchumi

    13 September 2022 Nairobi, Kenya HOTUBA MARA BAADA YA KUAPISHWA NAIBU RAIS MH. RIGATHI GACHAGUA Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Geoffrey Rigathi Gachagua amewaelezea raia wa nchi hii ya Kenya kuwa hali si hali pamoja ya kuwa ni nchi inayohesabika ina uchumi mkubwa na utajiri katika eneo hili la...
  3. Kumbusho Dawson Kagine

    Naibu wa Rais Gachagua ashikwa na kiwewe wakati wa kuapishwa

    Video ni Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigath Gachagua mapema siku ya leo amelazimika kurudia tena kuapa baada ya kushikwa na kiwewe hivyo kukosea kuapa. Unadhani ni Kwa Nini Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigathi alishikwa na kiwewe?. Disemba 9, 2020 mbele ya Rais Magufuli Naibu Waziri mteule wa...
  4. M

    Nimemfahamu Rigathi Gachagua majuzi tu - hivi alikuwa wapi?

    Mzuka wanajamvi! Huyu makamu wa Rais mtarajiwa wa Kenya Rigath Gachagua Mbona hakuwa anasikika na kujilikana kwa saanaa? Inaonekana ni mwanasiasa mkimya Sana na anafanya kazi na mambo yake kwa vitendo siyo blah blah blah. Mimi mara yangu ya kwanza kumfaham ni Ruto alipomchagua kuwa mgombea...
Back
Top Bottom