Salam sana Wakuu,
Moja ya watu nawakubali sana, ni hawa viumbe hapa jukwaani JF. Huezi amini huwa natamani siku Mungu anibariki nikutane nao uso kwa Macho huko mikoani au mataifa ya watu.
Nitafuruhi kama atajitokeza yeyote just kuwaelezea ni watu wa namna gani kimuonekano, kimtazamo na maisha...
raraa reree natumaini u mzima mkuu na uko around maana dimbani umekuwa hadimu.
Tumebaki na min -me anatu gharamisha 500 kwa kila like moja😁😁 wakati za kwako zilikuwa bure kabisa
Ndugu zangu.
Katika kumalizia mwisho wa mwaka wanaume tuzidi kukumbushana kwamba. Siku zote mwanamke anazaa na yule mwanaume anayempenda , ukiona mwanamke uliye nae kwa hiari yake binafsi bila makubaliano anaweka / kutumia vithibiti mimba kwa namna zake na jinsi zake ili tuu asibebe mimba yako...
Jana ndugu Shy land ameamua kumpa maua yake ndugu raraa reree
Ila pia tusimsahau ndugu yetu mwingine min -me
Hawa wote ni wazee wa support za likes bila kujali ni nani wala nani.
Leo pia nimpatie maua yake min -me
Hapa chini ni min me akiwa amejituliza baada ya siku nzito ya kupeana likes...
Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.