rais wa fifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania UEFA yataka rais wa FIFA akumbuke kuwa yeye ni mzungu hatakiwi kukosea

    Rais wa Uefa Aleksander Ceferin amesema Gianni Infantino anahitaji kukumbuka kuwa yeye ni Mzungu baada ya kuelezea mpango wa FIFA wa kuuza hisa katika Kombe la Dunia kama mbaya zaidi kuliko ule wa Super League. Mapema mwezi huu, baraza linaloongoza dunia liliacha pendekezo la Infantino la...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Infantino aomba radhi, Wajumbe wamuunga mkono bado ni Rais wa FIFA

    Agosti 5, 2026, Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeomba radhi kutokana na makosa yaliyofanywa katika mchakato wa pendekezo lililoondolewa la kuuza haki za kibiashara zinazohusiana na Kombe la Dunia. Wakati huohuo, viongozi wa shirikisho hilo wamethibitisha tena kumuunga mkono rais wake...
  3. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA Gianni Infantino afuta mpango wa kuuza Hisa za FIFA baada ya upinzani mkali kutoka kwa Wanachama

    Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ametangaza kufuta rasmi mpango uliokuwa na utata mkubwa wa kuuza hisa za mashindano ya shirikisho hilo kwa wawekezaji binafsi. Infantino alisema imedhihirika wazi kuwa mradi huo ulikuwa "umesababisha migawanyiko" ambayo "haiko tena katika maslahi" ya lengo lake...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FIFA yafikiria uwezekano wa Kombe la Dunia kushirikisha timu 64 ifikapo 2030

    Hapa hata Taifa Stars itapata nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia au Wadau mnasemaje? Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema shirikisho hilo litajadili uwezekano wa kuongeza idadi ya timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 2030 kutoka timu 48 hadi 64. Amesema pendekezo hilo litajadiliwa na...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA: Nimeonana na Iran, itashiriki Mechi za Kombe la Dunia 2026 zilizoandaliwa Marekani licha ya vita

    Akizungumza katika jukwaa la CNBC la Invest in America, Infantino, Aprili 15, 2026, alisema ni muhimu kwa Iran kushiriki michuano hiyo hata kama ushiriki wake umekuwa na mashaka tangu Marekani na Israel zilipoanzisha mashambulizi ya anga nchini humo. "Timu ya Iran inakuja bila shaka, ndiyo,"...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA amewapongeza Yanga SC kwa kutwaa vikombe vyote

    Rais wa FIFA amewapongeza yanga sc kwa kutwaa vikombe vyote 💛💚💪 Pia amewapongeza mashabiki na wanachama kwa kuiyunga mkono timu yao japo ilianza kwa kusuasua Asante Raisa wa FIFA 💪💚💛
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Saudi Arabia yatangazwa kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2034

    Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limethibitisha rasmi kuwa Kombe la Dunia la 2034 litaandaliwa na Saudi Arabia. Uamuzi huu ulitangazwa katika mkutano wa mtandaoni uliofanyika Zurich, Uswisi, chini ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino. Saudi Arabia ilikuwa mgombea pekee aliyewasilisha nia yake kwa...
  8. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Hivi Rais wa FIFA anafahamu kuna timu inaitwa Yanga kweli?

    Hapo vip! Embu tuweke ushabiki pembeni alafu tujuulize hivi rais wa FIFA anafahamu kuna timu inaitwa yanga kweli?😀😀😀😀
Back
Top Bottom