radio free africa

Radio stations in African countries can be categorized into three main areas: public, commercial, and community. The management of these radio stations is subject to each region's preferred methods.

View More On Wikipedia.org
  1. MoroGent

    Unakumbuka nini kuhusu Radio Free Africa Mwanza, Hizi zilikuwa Enzi halisi za Kusikiliza RADIO

    Enzi zile RADIO FREE AFRIKA ilikuwa moto wa kuotea mbali! Moja ya redio zilizofanya mapinduzi makubwa kwenye burudani, elimu na vipindi vya redio Tanzania. Hapa tunawakumbuka watangazaji waliotikisa nchi na vipindi vilivyotupa utamu ambao watoto wa 2000 hawaufahamu kabisa 😄👇 Orodha ya...
  2. R

    Radio Free Africa mna shida gani??

    Ni wiki sasa nikifungulia radio yenu kusikiliza vipindi vya asubuhi vya magazeti na matukio nakutana na miziki na matangazo ya biashara tu. Kulikoni???
  3. The Burning Spear

    Radio free africa Kisima cha watangazaji welevu Tanzania

    Great Thinkers. RFA ilikuwa ni kisima cha kuibua vipaji mbalimbali hapa nchini, watngazajii walikuwa weledi wabunifu na wenye kuielewa taaluma yao ndo maana wakapata nafasi gadi ya kutoka hadi nje ya tanzania, ukiachilia mbali kugombaniwa na radio zingine kama tbc na radio one Tukisema eti...
  4. G

    Matangazo ya Mganga Radio Free Afrika

    Wakuu habari. Niko nasikilizia hapa radio Free!. Kuna kipindi Cha mganga anajinadi kuwa kama una tatizo lolote yeye atakusaidia kulitatua kwa kupiga namba ya sim Aliyoitoa. Anasema kama unashida na Hela, cheo yeye anaweza kukusaidia. Najiuliza hapa nikienda kwa huyo mganga na nisifanikiwe...
  5. W

    Kipindi gani unakikumbuka kutoka Radio Free Africa (RFA) ya wakati huo

    Wakuu nimekaa nikakumbuka miaka hiyo kipindi cha SITOSAHAU cha RFA. Ilikuwa ikifika hiyo mida ni kukaa karibu na redio mfano wakati wa simulizi ya Gamboshi 😂 asee? Wahenga kipindi kipi mnakumbuka? Au ulikuwa ukikipenda?
  6. DR HAYA LAND

    Watangazaji wa Radio Free Africa walikuwa na hatari sana

    Hawa jamaa mapengo yao hayajazibwa mpaka Leo Fedwaa Mohammed Baraghaza Rebecca Mulesi Fedwaa alitisha Sana - katika kuandaa sindano tano za moto Mohammed Baraghaza alitisha katika , jee huu ni uungwana la hasha huu si uungwana . Rebecca Mulesi -katika ushauri wako.
  7. mfate42

    KERO Huyu babu wa radio Free Africa ana tofauti gani na kiboko ya wachawi? na je kwanini hafungiwi?

    Habari za muda huu ndugu wana JamiiForums, Naomba kuuliza hivi huyu mzee anaejiita babu, ambae anarusha matangazo yake ya uganga wa kienyeji kupitia kituo Cha Radio Free Africa, Mwanza ana tofauti gani na yule aliyefungiwa kule Buza, anayejiita kiboko ya wachawi. Nimejaribu kusikiliza kwa...
  8. TURIAN

    Radio Free Africa na waganga wa kienyeji

    Radio free Africa naona sasa imeshapoteza credibility yake kitambo. Sasa hivi imejaa vipindi vya waganga wa kienyeji tu. Sasa hivi nasikia mtu anajiita chief Magema anajitangaza kuwasaidia watu na kutaja namba zake za simu, kama sio utapeli huu ni nini!!? Hapa RFA mnaelimisha nini zaidi ya...
  9. shikamkono01

    Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

    Sehemu ya 1. Naitwa Rojaz na nimezaliwa kwa wazazi ambao baba na mama matamanio yao ni kuona watoto wao tunasoma kwa bidii ili kuweza kufikia malengo yetu na ndoto ambazo wao kama wazazi wanaziota juu yetu,natumaini ni ndoto ya kila mzazi kwa mtoto wake,hakuna mzazi anayesomesha mtoto na...
Back
Top Bottom