Sammy Boussiba (Hebrew: סמי בוסיבה) is a professor emeritus at the French Associates Institute for Agriculture and Biotechnology of Drylands at the Jacob Blaustein Institutes for Desert Research at Ben-Gurion University of the Negev, Israel.
Ukisikiliza mashairi ya wimbo huu ulioimbwa miaka 24 iliyopita utasema kauandika jana maana aliyotasema yote ndio yanatokea sasa nawaza kipindi kile prof Jay hakuitwa mhaini na wimbo ulipigwa bila shida je ingekuwa leo hii ingekuwaje
Ebu pitia you tube usikilize
Kila ninaposikia Wimbo wa Starehe wa Ferouz ft Prof Jay basi nasawazika roho na nafsi.
Wimbo uliojaa nasaha na hekima, wimbo uliozingatia maadili, wafaa kwa wazee, vijana wa kike na wa kiume.
Kwa kweli waliupiga mwingi sana.
* Hapa nilipo mimi nipo kitandani. Starehe zimeniweka matatani...
Watu ambao mpo karibu na Prof Jay jaribu kumuongoza Vyema huyu Kijana .
Maana watu hasa wapinzani walijitoa Sana kwako.
Unaposema utaingia katika uchaguzi bila reform je umetazama mbele na ustawi wa Taifa lako?
Najua yawezekana nyie G55 mpo kimkakati na mmesha hakikishiwa usalama wa kesho...
VERSE 1:
Yoh, yoh, yoh
Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo
Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo
Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo
Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo
Hapana matata kitu roho inapenda mtapata
Bongo Dar Es Salaama ni mpeto wa kutakata
Nenda viwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.