prof jay

Sammy Boussiba (Hebrew: סמי בוסיבה) is a professor emeritus at the French Associates Institute for Agriculture and Biotechnology of Drylands at the Jacob Blaustein Institutes for Desert Research at Ben-Gurion University of the Negev, Israel.

View More On Wikipedia.org
  1. REJESHO HURU

    Machozi jasho na damu by prof Jay

    Ukisikiliza mashairi ya wimbo huu ulioimbwa miaka 24 iliyopita utasema kauandika jana maana aliyotasema yote ndio yanatokea sasa nawaza kipindi kile prof Jay hakuitwa mhaini na wimbo ulipigwa bila shida je ingekuwa leo hii ingekuwaje Ebu pitia you tube usikilize
  2. B

    Ferouz na Prof Jay, Wimbo wao wa Starehe Waliupiga Mwingi sana

    Kila ninaposikia Wimbo wa Starehe wa Ferouz ft Prof Jay basi nasawazika roho na nafsi. Wimbo uliojaa nasaha na hekima, wimbo uliozingatia maadili, wafaa kwa wazee, vijana wa kike na wa kiume. Kwa kweli waliupiga mwingi sana. * Hapa nilipo mimi nipo kitandani. Starehe zimeniweka matatani...
  3. DR HAYA LAND

    Prof Jay, Umejenga jina lako kubwa ila unaenda kuharibu legacy yote kwa kukosa maono hasa ukijiunga na G55

    Watu ambao mpo karibu na Prof Jay jaribu kumuongoza Vyema huyu Kijana . Maana watu hasa wapinzani walijitoa Sana kwako. Unaposema utaingia katika uchaguzi bila reform je umetazama mbele na ustawi wa Taifa lako? Najua yawezekana nyie G55 mpo kimkakati na mmesha hakikishiwa usalama wa kesho...
  4. X

    TBT: "Bongo Dar es Salaam" hii ngoma Prof Jay alikuwa mbele ya wakati sana. Respect legend

    VERSE 1: Yoh, yoh, yoh Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo Hapana matata kitu roho inapenda mtapata Bongo Dar Es Salaama ni mpeto wa kutakata Nenda viwanja...
Back
Top Bottom