Wanabodi
Baada ya Polepole kuandika barua ya kujiuzulu, niliandika Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?
Leo nimemsikiliza akiongea, naomba kuuliza , kuna ile simulizi ya mfalme...
Majira ya saa tano usiku wa jana walivamia kwa dadaake na Polepole kwa kile kinachosemwa kusaka taarifa! Uhalisia ni kwamba "walipangwa" wakapangika wakaingizwa cha city kwamba muhuni yuko nchini
Nina hakika walishakagua entries zote na kujiridhisha kwamba muhuni hajazitumia.. Ila kwakuwa...
Msanii wa filamu Jimmy Mafufu amejitokeza kumjibu Humphrey Polepole.
Polepole anatafuta huruma na ni bingwa wa kucheza na upepo.
Mafufu ametoa kauli zinazotafsiriwa kama kumtaka Polepole kukumbuka alikotoka, akisema baadhi ya viongozi wanapoteza mwelekeo wanapojiona wamefikia kilele.
Ametumia...
Unafaidika na kanga? Baiskeli na Tisheti? CCM imekosa muelekeo.
Tumuunge mkono shujaa wa Tanganyika Tundu Lissu Antipass tupate mabadiliko ambayo yataleta ustawi wa taifa letu
More to come…
Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni:
=======
Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Havana – Cuba, pamoja na uwakilishi wa...
Kibongo bongo yeyote anaejiuzulu apewe maua yake.
Humphrey Polepole ni one in a million.
Nimeona kuna watu wanahoji Polepole kwanini hakufanya wakati wa JPM? kama tatizo ni ukiukaji wa haki za binadamu.
Kwanza kutowajibika wakati fulani haikuzui kuwajibika baadae. Kisa wakati fulani hukukemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.