plo lumumba

Patrick Loch Otieno Lumumba (born 17 July 1962) is a Kenyan lawyer and activist. He is the director of the Kenya School of Law and served as the director of the Kenya Anti-Corruption Commission from July 2010 to August 2017.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    PLO Lumumba AONYA MAPINDUZI Tanzania

    15 November 2025 https://m.youtube.com/watch?v=taaPPz2Df0Y Prof. PLO Lumumba achambua kuhusu washauri wahuni, machawa wanaosema Mama usisikilize kelele za vijana GenZ, vijana hao GenZ ni genge lisilojielewa, wababaishaji, hawajui wanadai nini, watapoa tu, 912 hawatatokea katika maandamano...
  2. K

    Tuombe mdahalo Prof PLO Lumumba vs Prof Kabudi

    Tuombe mahojiano kati ya Prof Lumumba na Prof Kabudi kuhusu demokrasia na katiba. wote ndiyo wabobeaji wa sheria wa EA ingawa mmoja ni chawa na mtoa macho mkubwa. Hii itasaidi tujue tunaenda wapi kwa hoja. https://youtu.be/QLp9ydc6K3I?si=ipvBzt3KHGEhw2sj
  3. Nyani Ngabu

    Kenya vs Tanzania: PLO Lumumba weighs in!

    https://youtu.be/NOoBaOwO6g8?si=_q8xG3hw918zLpm7 Mwana-umajumui wa Uafrika kutoka Kenya katoa maoni yake kwenye chaneli ya Fanya Mambo Afrika kuhusu mambo yaliyojitokeza wiki iliyopita hapa Tanzania kuhusu baadhi ya wanaharakati waliokuja nchini kwa ajili ya kesi haramu inayomkabili Tundu Lisu...
  4. Abdulrahmanyusuph03

    Mtazamo wa PLO Lumumba kuhusu vita ya Israel na Palestine

    P.L.O. Lumumba ni profesa wa Kenya anayejulikana kwa maoni yake makali kuhusu masuala ya kisiasa. Katika mazungumzo kuhusu vita vya Israeli na Wapalestina, anasisitiza mengi muhimu kwa mataifa kwa ajili ya suluhu. Fuatilia ili upate ufahamu mzuri kuhusu mzozo huu.👇🏿 Mzozo wa Israeli na...
  5. E-Maestro

    Waafrika tunamuelewa P.L.O. Lumumba? Au tusubiri afe ndio tumuite a true son of the African soil?

    P. L. O. Lumumba, mwanasiasa na mwanaharakati wa haki za kijamii kutoka Kenya, ni mmoja wa wasomi wachache ambao wamejitolea maisha yao yote kupigania Uafrika na kujenga ufahamu wa kina kuhusu Pan Africanism. Lakini je, sisi Waafrika tunamuelewa kwa undani? Je, tunachukua hatua kufuata...
Back
Top Bottom