pikipiki used

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Natafuta pikipiki used mkoani Kilimanjaro

    Kijana wangu anahitaji pikipiki used (iliyoko kwenye hali nzuri) cc150 ili iweze kupanda milima ya Rombo ikiwa imepakia mzigo (Isiwe Boxer) IWE NA UMILIKI HALALI.....Offer yake ni shs 1mil cash japo anakaribisha maongezi kulingana na ubora wa Chombo
  2. W

    Nina laki 9 nataka nichukue pikipiki used ya laki 5 halafu inayobaki nichukue dagaa wa kukaanga wa Mwanza niuze kwa rejareja na jumla

    Nilikuwa naomba ushauri wenu kwenye hiyo laki 9 nichukue pikipiki used ya laki 5 niifanye kama boda ya kuniingizia kipato alafu pia niwe naitumia kwenda kuuza dagaa sehemu mbali mali hasa hasa nyakati za jion sehemu zenye mzunguko mkubwa wa biashara. So nilikuwa naomba kipi nianze nacho kati...
  3. nipo online

    Wapi naweza kupata pikipiki bora ya mtumba. Nipo iringa tafadhali naomba ujuzi

    wakuu msaada kwa wale wanaofahamu jinsi ta kupata pikipiki used ni model ya DH bk nipeni mbinu tafa
  4. nipo online

    Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

    Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki. Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS...
  5. Julius Husseni

    Nina million na laki mbili, wapi napata pikipiki boxa used imara?

    Rasmi sasa kuna jamaa kanidodosa kua biashara ya boda inalipa kwahiyo nimeona nicheki upepo wa pikipiki boda. Mwenye connection ya boda nzuri kwa hiyo bei gani USINIAAMBIE NIJE PM SIJI Asanteni.
Back
Top Bottom