ofisi za chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    PreGE2025 Heche: Kuna mkakati wa kutumia msajili wa vyama vya siasa na polisi kuteka ofisi za CHADEMA

    Serikali ya CCM, Rais Samia kama kuna watu wanakushauri haya basi wanakupotosha sana. Nafikiri hamjui kiu ya Watanzania kutaka mabadiliko. Kila hila mnazopanga na kufanya dhidi ya chama chetu mnakiimalisha zaidi.Sisi hatutawapigia magoti.
  2. Lord Denning

    Manipulation: Mbinu iliyotumika na CIA kukichukua kisiwa huko Ufilipino na Sakata la Sumu Ofisi za Chadema huko Mbeya.

    Kuelekea Vita kuu ya Pili ya Dunia Marekani alikuwa na uhitaji mkubwa sana wa visiwa katika Bara la Asia kwa ajili ya kujenga Kambi zake za kijeshi.Moja ya maeneo yaliyotambuliwa na Marekani ni visiwa vilivyopo karibu na Nchi ya Ufilipino. Pamoja na kutumia mbinu zote kuwashawishi wakazi wa...
  3. Carlos The Jackal

    Viongozi wa dini kemeeni shambulio la kigaidi la silaha za kikemikali ofisi za CHADEMA Nyasa

    Wana CCM nawaomba sana na kuwasihi Viongozi wa Dola wazalendo nawaomba na kuwasihi sana . Suala hili naombeni lisichukuliwe ni jambo la kawaida, la kupuuzwa kama ambavyo VIFO vya Akina KIBAO vimepuuzwa !!. Niwaombe sana Wazalendo wote Kwa pamoja KEMEENI hili mara Moja, Kemeeni hili Moja...
  4. Carlos The Jackal

    Kilichotokea Ofisi za CHADEMA Nyasa ni Shambulio la Kigaidi la silaha za Kikemikali lilolenga mauaji ya Halaiki

    CCM CCM CCM hata nyinyi hamtakua salama kama mtaendeleza siasa hizi. CCM CCM CCM narudia, msilazimishe njia mloichagua kua njia ya maisha ya kisiasa. CCM CCM CCM endapo vifo vitaanza kutokea kwa wanachadema wote waliolala mahali hapo, na vifo hivo vikawa ni leo au huko mbeleni, CCM...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Wasiojulikana wavamia Ofisi za CHADEMA Kanda ya Nyasa na kumwaga sumu eneo lote kwa lengo la kuwaua Viongozi na Wanachama

    Wakuu! Sumu hiyo inaripotiwa kusababisha maumivu ya pua, kichwa, macho na koo. OCD wa Mbeya na timu yake walifika mapema kuchukua sampuli. Wapo wanaodai huu ni mkakati wa kisiasa kutumia kemikali hatari.
  6. chiembe

    Ofisi za CHADEMA sasa ni kama mahame, watu hawaaminiani hata kuacha maji ya kunywa ofisini, huzuni imejaa kwa kupoteza marafiki

    Ofisi za chadema ni jumba la huzuni, marafiki wanakimbia jengo walilolipigiania kulijenga. Chuki na uadui ni mkubwa sana kiasi kwamba mtu hakubali kuacha maji au chakula ofisini kwa kuhofia kufanyiwa madhara na wenzake. Wakurya wamejaa kama nzige. Kila mahali huyu anamsengenya huyu. G55 wana...
  7. chiembe

    Baada ya kufuatilia kwanini Twaha Mwaipaya ameng'ang'ania ofisi za CHADEMA baada ya uongozi wake kuisha, kumbe biashara yake ni kufuga njiwa

    Nimeshangaa sana, wengi walioachia uongozi chadema, wameondoka na kuendela na shughuli zao za kimaisha. Mwaipaya yeye ni kiguu na njia ofisi za chadema, na kwenye mikutano ya chadema. Njaa haina rafiki, bado anafukuzia posho za chama. Kumbe huyu jamaa kazi yake nje ya siasa ni kufuga njiwa...
  8. The Palm Beach

    Rose Mayemba: Nimefukuzwa Makao Makuu kama mbwa na walinzi wa Mbowe. Aeleza Rushwa ya Freeman Mbowe ilivyokwamisha Uchaguzi Mkoa wa Njombe usifanyike

    https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki... Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA.. Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Wagombea Mbowe anayetetea nafasi yake, Lissu na Odero kufanyiwa usaili leo ofisi za Chadema

    Wagombea wa nafasi za juu za uongozi wa Chadema, wanafanyiwa usaili leo Jumapili, Januari 19, 2025, ikiwa ni maandalizi ya kinyang'anyiro cha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumanne Januari 21, 2025. Usaili wa wagombea hao, unafanyika yalipo Makao Makuu ya Chadema, Mikocheni jijini...
  10. R

    CHADEMA, kuanzia leo wekeni mkakati wa kuwa na ofisi ya chama kila kata ifikapo 2030

    Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa CHADEMA na it seems watu hawana mwamko na CHADEMA kwasababu hakuna mhamasishaji. Erythrocyte
Back
Top Bottom