Tuliapa Tangu Mapema sana kwamba, hakuna kijiji kitakachoachwa, na hoja yetu ni ile ile ya kuepusha mauaji kwa sababu za Uchaguzi, na kwamba bila Mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi.
Ni heri wafanye watakavyo lakini uhai wa wananchi uwe salama.
Kampeni ya Chadema imekuwa Rahisi sana kwa sababu...