The Nissan Qashqai () is a compact crossover SUV produced by the Japanese car manufacturer Nissan since 2006. The first generation of the vehicle was sold under the name Nissan Dualis (Japanese: 日産・デュアリス, Nissan Dyuarisu) in Japan and Australia, and Qashqai in other markets. The second (and current) generation, which was released in 2014, is not sold in Japan and is badged as the Qashqai everywhere it is sold, except in the United States, where it is rebadged as the Nissan Rogue Sport.
Nissan named the vehicle after the Qashqai people, who live in mountainous Central and Southwestern Iran.
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Namshukuru Mungu ni mzima hata sasa, Jumapili nilinusurika ajali mbaya san, Kikubwa Uzima.
tuende kwenye Mada
Kama unajua/unauza vifaa hivi vya nisaan dualis niuzie upate pesa chap chap
1. Engine Cover, hii ndio ninayohitaji.
2. Inner fender(madgad)...
Habarini za jioni wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis,gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni.
Gari ni ya 2010
Tatizo:
1.Inakosa nguvu
2.Inatoa mngurumo tofauti na kawaida
3. Misfire...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.