ni wakati wetu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    GE2025 Mnatekana ninyi kwa ninyi watu wa bara. Sisi Wanzazibar hayatuhusu, ni wakati wetu kupumua

    Miaka ya Nyuma haya mambo ya kutekwa na kupotea yalikuwa Zanzibar wakati Marais wakiwa Wabara. Hadi sasa kuna wakimbizi wa Zanzibar huko kenye waliokimbia utekaji na Virungu vya Polisi. Kipindi hicho hakuna hata Mbara aliyetutea.. Sasa ni zamu yenu.. Mtatekana na kuuana hadi mtubu kwa Mtume...
  2. Mshana Jr

    Mapopo wa JF: ni wakati wetu.. Tuheshimiwe

    Waliolala ni haki yao.. Na wakeshao pia ni haki yao Maonyo manne 1Mwanangu, kama umejitolea kumdhamini jirani yako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mtu huyo, 2umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya. 3Ujue kwamba uko chini ya mamlaka ya mwenzio, lakini mwanangu...
  3. Mshana Jr

    Ni wakati wetu

    Ukumbusho wako wa kirafiki kwamba kumekuwa na ushirika kila wakati. Tangu zamani mpaka sasa... Duniani kote.. Kuwa mshirika... Jiunge na mtandao Jenga jumuiya yq wazalendo wa Tanganyika Kuza upinzani. Huu ni wakati wetu.. It is NOW...! or NEVER...!
  4. upupu255

    PreGE2025 Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Dar es Salaam Kufanyika Machi 17-23, 2025. Wapiga Kura wapya 643,420 kuandishwa

    Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Dar es Salaam utafanyika kwa siku saba kuanzia tarehe 17 hadi 23 Machi, 2025 ambapo wapiga kura wapya 643,420 wanatarajiwa kuandikishwa. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs...
  5. B

    Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!

    Gen Z tupo? Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli? Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu? Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials...
Back
Top Bottom