Nchi za kiarabu na kiislamu zimepinga vikali Somaliland kutambuliwa na Israel. Ikumbukwe kuwa nchi ya Somaliland imekuwa huru kwa zaidi ya miaka 30 na hakuna nchi yoyote ya kiarabu iliyoitambua.
Nchi ambazo zimepinga ni Qttar,Turkey,Saudi Arabia,Iran,Yemen,Somalia,Syria. Kukataa kwa nchi hizo...