The Premier League on NBC and Premier League on NBCSN is the blanket title for broadcasts of the Premier League by the networks of NBC Sports. NBC acquired rights to the Premier League in 2013, and reached a six-year extension in 2015.
Mechi kali ya Ligi jioni ya leo inapigwa Mwanza katika dimba la CCM Kirumba
Kikosi cha Simba Sports Club kitawakosa washambuliaji wake wawili dhidi ya Pamba JIJI FC, Baraka Mwangosi na Seleman Mwalimu.
Mwangosi aliumia kwenye mechi dhidi ya Singida BS na hajasafiri kwenda Mwanza wakati...
Baada ya kuaga rasmi mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Simba SC sasa wanarejea kwenye majukumu ya Ligi Kuu ya NBC, wakitarajiwa kukipiga dhidi ya KMC, maarufu kama Watoza Ushuru wa Manispaa ya Kinondoni.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 1 usiku katika dimba la KMC...
Leo, katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Simba SC itakuwa na kibarua kizito mbele ya Azam FC. Mchezo utachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, majira ya saa 5:00 jioni. Je, ni mbinu ya kocha Matola au Ibenge itakayowezesha timu kuondoka na alama zote 3?
Kikosi cha Simba...
klabu ya Simba Sc itamenyana na JKT Tanzania katika mwendelezo wa ligi ya NBC leo, Novemba 08, 2025, katika uwanja wa Mej Jenerali Isamhyo majira saa 1 kamili usiku.
All the Best Simba Sc.
Leo katika mwendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kutakuwa na mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Sugar utakaopigwa katika Uwanja wa KMC Complex majira ya saa 10:00 jioni.
Mara ya mwisho timu hizi zilikutana mnamo tarehe 13 Mei 2024 katika mzunguko wa 27 wa ligi, ambapo Yanga iliibuka na ushindi wa...
Ligi kuu ya NBC inaendelea leo kwa michezo miwili muhimu. mchezo wa kwanza utazikutanisha Singida Black Stars na Mashujaa FC majira ya saa 14:00 mchana. baada ya hapo, kutakuwa na mtanange mkubwa kati ya Mbeya city dhidi ya Yanga, ukiwa ni mchezo wa pili kwa yanga na wa kwanza wakiwa ugenini...
Tunaanza na Pamba Jiji #NBCPremierLeague 2025/26🔰
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji
Dakika ya 17
Max nzengeli anakosa goli la wazi
Dakika ya 24
Yng 0-0 pmb
Dakika ya 28
Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 38
Yanga SC wanapata free kick ecua anapiga na kukosa
Dakika ya 40...
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya utani wa timu zetu ta ligi kuu wanazopost kwenye page tao za mitandao ya kijamii.
Wamepost Singida Big Stars.
"Laiti Katika Timu Yenu Angetokea Mtu Mmoja mwenye Hekima na Busara Akatuuliza kwa nini Tumekubali Kumuachia Top Score wetu Buure kwa Kumpa Mpinzani...
Kiungo wa Young Africans, Peodoh Pacome Zouzoua, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Juni katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Zouzoua aliwashinda Clatous Chama wa Simba na Kibu Denis wa Yanga, baada ya kuisaidia Yanga kushinda mechi zote tatu alizocheza mwezi huo, akifunga mabao...
Hivi kweli Wanamichezo hapa JamiiForums tukiweka pembeni Mahaba yetu kwa hizi Timu zetu kabisa tukifanya thorough analysis kuanzia Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ianze mpaka hivi juzi ilipomalizika na tukiangalia kuanzia Mechi walizocheza, Mchango wao na uwajibikaji wao kwa Timu zao tukiwa na Akili...
Leo tar 25/6/2025 saa 11 jioni kuna dabi ya kariakoo , Mwanzoni kulikuwa na kila Sababu kwa Simba kutopeleka timu uwanjani lakini dakika za jioni Mnyama anaingia uwanjani.
Points 3 za leo ni muhimu sana kwa Simba , Hakika Yanga hawezi chukua ubingwa kirahisi kwa timu kutofika Uwanjani hii ndio...
Baada ya jana Makolo kufungwa na kutupwa nje ya kombe la shirikisho. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji wa Timu za ligi kuu wasio na kiwango cha kuchezea ligi kuu.
1. Ally Salim (Simba)
2. Chamou Karabou (Simba)
3. Che Fondoh Malone (Simba)
4. Lionel Ateba (Simba)
5. Steve Mukwala (Simba)
6. Joshua...
Simba 1 - 0 Singida Black Stars (⚽ MUKWALA 42' )
LIGI: NBC premier League ⚽🏆
Game: Simba SC v/s Singida Black Stars SC
Tarehe: 28-05-2025
Uwanja: KMC Complex
Muda: Saa kumi jioni
ni mechi ya kiporo yenye mvuto wa kipekee, Simba SC wataingia dimbani kwenye uwanja wa KMC Complex kuchuana vikali...
Match Day
Vikosi vya Leo.
1. Simba
2. Pamba SC
Mechi imeanza (Kick Off)
4' Hakuna bao pande zote
08' Simba wanapata free kick nje kidogo ya 18, anapiga Ahoua inaishia kwenye mikono ya kipa wa Pamba.
Game on
0-0
11' Mpira unaendelea umiliki kwa Simba, wanaingia sana kwa Pamba.
Refa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.