Hi…
Mimi ni kijana 30+ nina tafuta mwanamke wa kuanzisha nae maisha Sifa :spiritually understanding
:mbunifu wa kutafuta kipato
:Asizidi 34+
Dini yoyote
Kazi yangu na vipaji pm
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
Habari wakuu.
Nahitaji mwanamke wa kuoa ambae yupo tayari kwa mahusiano na kuolewa.
Umri wake uwe kuanzia miaka 20 mpaka 30 akiwa na mtoto sawa hakuna shida.
Sifa zangu
Umri 30
Habari ya uzima wenu wana JF?
Natumaini mu wazima.
Mimi ni mkazi wa Dar, ni muajiriwa na pia nina biashara zangu za kunipa senti mbili tatu. Umri wangu ni miaka 29 na ni mzaliwa wa mkoani Mwanza. Dini yangu ni mkristu.
Nakuja mbele zenu, nkiwasilisha ombi la kuweza kupata mwanamke ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.