nandy

  1. H

    Diamond na Nandy miongoni mwa wasanii watakaohojiwa na Idris Elba

  2. H

    Nandy amsifia Zuchu

    Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika mbali Sana maana Mimi Ni mshabiki wake pia" Ikumbukwe pia nandy na Zuchu walikuwepo wote kwa pamoja...
  3. Hivi aliyeandika hizi taarifa mwenye Wikipedia ya msanii Faustina Charles Mfinanga a.k.a Nandy, alikuwa na maana gani ?

    Nilikuwa napitia taarifa za msanii Nandy, japo kuweza kujua wasifu wake. Nilipofika hiki kipengele nilishindwa kukielewa kwa kweli. Maana hapa zinazungumziwa controversies za Nandy Ila maelezo ni ya ishu za Diamond. Sioni hizo controversial moments zaidi ya kusifiwa. Hivi Harmonize kumbe jina...
  4. H

    Nandy: Vanessa na Ruby hawaniwezi

    Msanii wa kimataifa na mwenye mvuto wa sauti wa kumtoa nyoka pangoni na msanii mwenye mvuto kuliko msanii yoyote barani Africa Nandy a.k.a African Princess. Amefunguka baada ya kushindanishwa na V.Money na Ruby na mashabiki nakusema wote wawili hawapo level yake na amewashauri mashabiki...
  5. H

    Diamond, Rayvanny, Nandy, Lil Ommy washinda tuzo Marekani

    Wasanii kutoka Tanzania washinda tuzo ya east entertainment awards USA ambapo hizo tuzo zilifanyika USA.Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania diamond platnumz alishinda katika kipengele Cha best collaboration ft (baila),rayvanny na nandy wameshinda kwenye kipengele Cha best male/female east and...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…