nagasaki

Nagasaki (Japanese: 長崎, Hepburn: Nagasaki) (IPA: [naɡaꜜsaki]; lit. "Long Cape"), officially known as Nagasaki City (長崎市, Nagasaki-shi) is the capital and the largest city of the Nagasaki Prefecture on the island of Kyushu in Japan.
It became the sole port used for trade with the Portuguese and Dutch during the 16th through 19th centuries. The Hidden Christian Sites in the Nagasaki Region have been recognized and included in the UNESCO World Heritage List. Part of Nagasaki was home to a major Imperial Japanese Navy base during the First Sino-Japanese War and Russo-Japanese War. Near the end of World War II, the American atomic bombings of Hiroshima and Nagasaki made Nagasaki the second city in the world to experience a nuclear attack. The city was rebuilt.As of 1 June 2020, Nagasaki has an estimated population of 407,624 and a population density of 1,004 people per km2. The total area is 405.86 km2 (156.70 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Ndoto ilitotabiri Mwisho wa Japani Kabla ya Hiroshima na Nagasaki: Sehemu ya pili

    Tuendelee na sehemu ya pili na ya mwisho. Kupanda kwa Prince Fumimaro Konoe kuelekea kilele cha mamlaka hakukuwa matokeo ya mapinduzi, bali mwendelezo wa urithi wa kifalme uliovaa suti ya siasa. Sasa mwezi Juni 1937, kwa mapendekezo na maneno mazuri kutoka kwa mlezi wake Saionji Kinmochi, Konoe...
  2. Damaso

    Ndoto ilitotabiri Mwisho wa Japani Kabla ya Hiroshima na Nagasaki: Sehemu ya kwanza

    Vitabu vya historia vinatuambia kuwa kabla ya Hiroshima pamoja na Nagasaki kupigwa na pigo basi walikuwa wameshachapika vya kutosha, yaani kabla ya zile bomu mbili kushushwa kulikuwa na hali mbaya sana ndani ya Japani. Raia wengi walifahamu kuwa Japani pamoja na Mfalme Hirohito hawatoboi mbele...
  3. Allen Kilewella

    HIROSHIMA na NAGASAKI ya CHADEMA

    Siku ya tarehe 6/ 8/1945 saa mbili za Asubuhi mji wa Hiroshima ulipigwa bomu la Atomiki na siku tatu baadaye yaani tarehe 9/08/1945 majira ya saa tano za Asubuhi mji wa Nagasaki nao ulipigwa Kwa bomu la Atomiki pia. Miji yote miwili ipo nchini Japan. Miji hiyo miwili ilipigwa mabomu hayo ya...
  4. Arnold Kalikawe

    Pentagon kuja na Bomu la Nyukilia lenye nguvu mara 24 zaidi ya lile la Hiroshima, Japan

    Idara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuja na bomu jipya la nyuklia, B61-13, ambalo litakuwa na nguvu mara 24 zaidi ya lile lililoangushwa huko Hiroshima wakati wa Vita vya Pili vya Dunia mwaka 1945. Bomu hilo jipya la nguvu ya nyuklia la B61-13 lililopendekezwa na Marekani litabebwa na...
Back
Top Bottom