nabii tito

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Siku tano zimepita tangu Nabii Tito akamatwe, lakini hadi leo hajapandishwa mahakamani.

    Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote. Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
  2. JamiiForums Tanzania Tetesi: Hizi story kuwa Nabii Tito atunae ni za kweli?

    Nimekutana na hii taarifa kua nabii Tito kapoteza maisha, je ni za kweli hizi taarifa? Ikumbukwe nabii Tito alimdhihaki MUNGU, Kwa kujiita ye MUNGU na yesu ni mwanae
  3. JamiiForums Tanzania Jicho la Shaka: Je, Ni Ukichaa halisi au Nabii Tito ni chambo kinachotumiwa na watu wa nyuma ya pazia?

    Katika kumbo hili la wakati, hata mtu anayeonekana kupoteza fahamu za kawaida za kijamii bado anajua nguvu ya simu janja na mitandao ya kijamii. Lakini linapokuja suala la maudhui anayoyatoa kwa haraka kuna sababu kadhaa zinazomfanya atumie mitandao kutukana viongozi wa kisiasa, mathalani...
  4. JamiiForums Tanzania Kwanini Polisi Wamemkamata Nabii Tito wakati 2018 walimuachilia kwamba ana matatizo ya akili?

    Kukamatwa kwa Nabii Tito ni Ishara tosha kwamba Polisi wanatumilka Kisiasa. Mwaka 2018 Polisi walimkamata Dodoma, Halafu wakampeleka Mirembe, kisha wakamuachia eti ana matatizo ya akili. Kipindi hicho alikuwa anaisifia CCM. Alipoanza kusema CCM na Samia ni wauaji wa Oktoba 29 mwaka 2025...
  5. JamiiForums Tanzania Nabii Tito akamatwa na Polisi Dar

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Tito Onesmo Machibya, maarufu kama “Nabii Tito”, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo, matusi na uchochezi. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, mtuhumiwa alikamatwa usiku wa Agosti 15, 2026 katika eneo la Sinza Makaburini, wilayani...
  6. JamiiForums Tanzania Nabii Tito ambaye aliumbwa kwa sura na mfano Mungu

    Nabii Tito ambaye aliumbwa kwa sura na mfano Mungu amekuwa akipaka 💋 lipstik ili kulainisha mdomo. Alitabiri Mengi kama ifuatavyo 1.Mafuta kupanda bei 2.Kesho kuwa Jumamosi 3.Kuvaa life jacket kujikinga na baridi 4.Wema kujifungua 5.Walevi kunywa pombe
  7. JamiiForums Tanzania Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

    Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia. Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi. Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga...
  8. JamiiForums Tanzania Nabii Tito nani anamdhamini kumdhihaki Mungu

    Habari. Huyu yuko anashinda sana Live TikTok na kuwashawishi vijana wawe mahanisi. Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe huku akitembea mitaani na kushinda Tiktok. Anajiita Mungu. Anashinda Tiktok masaa 24. Swali langu nani amadhamini huyu kichaa ili aweze kutrend
  9. JamiiForums Tanzania Nabii tito amkana kiboko ya wachawi asema lazima afungiwe hakuna jinsi

    Huyu jamaa alikwenda kwa lulenge aakamsfia na makofi kibao kanisani Gafla kamkaqta naabii mwenzie anasema asiengeweza kuendelea na mahubiri kama yale ya kishenzii https://www.facebook.com/reel/1511150019497272/?mibextid=FqQbvRVe40gbju2b
  10. JamiiForums Tanzania Nabii Tito: Mimi nimezaliwa nikiwa Hanisi na Mke wangu ni Bikra

    Hivi, huyu jamaa ana agenda gani? Kwanini anaachwa?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…