Alikuwa anaongoza vizuri tu tena kwa tofauti ya point nyingi ila now wameànza kumfanyia mtimanyongo.
Jana marefa wa mchongo wamefanya ukhanithi wao mwisho wa siku Nabi kupoteza mechi muhimu.
Sasa hivi ana point 64 wanaomfuata Raja Casablanca wana point 60 na mchezo mmoja kibindoni(kiporo)...