mwl julius nyerere

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Genius Man

    Nyerere: Tunataka vijana waasi, jeuri na mashujaa dhidi ya mifumo isiyoendana na matarajio ya watanzania

    Moja ya wosia maarufu zaidi wa baba wa taifa kwa vijana unaoishi hadi leo. Nyerere, "Tunataka vijana waasi, jeuri na mashujaa dhidi ya mifumo isiyoendana na matarajio ya watanzania." kwa mauwaji samia aliyoyafanya kwa kushirikiana na polisi wapumbavu, wajinga na wala rushwa vijana lazima tuasi...
  2. J

    Profesa Kabudi hayo mafanikio ya Rais Samia hayatokani na yeye kusimama kwenye mabega ya watangulizi wake?

    Baadhi ya Viongozi wa nchi hii siyo tu kwamba wanaonekana kuelewa madaraka na uchawa, bali Sasa wameanza kukufuru. Mmoja wao ni Profesa Kabudi. Huyu anajua baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere enzi za uongozi wake alifanya mambo mengi makubwa na ya kukumbukwa. Nyerere alituunganisha watanzania...
  3. Ileje

    Kumbukumbu kutoka kwa Mwl Nyerere: Tujenge utamaduni wa kudhibiti viongozi wanaovunja sheria

    Kama tutaendelea na tabia hizi hizi tutatawaliwa na madikteta, je tumekwisha fika huko?
  4. briophyta plantae

    Maoni ya Baba wa Taifa kuhusu nguvu ya vijana katika kujenga taifa lao

    MANENO YA MWALIMU NYERERE “Tunataka kuona katika Taifa hili vijana jeuri na wenye kujiamini; si vijana waoga, akina “ndiyo bwana mkubwa; vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya Kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya...
  5. T

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%. Baada ya matokeo hayo...
  6. YEHODAYA

    Historia ya Mwl. Julius Nyerere kwa undani

    I first met Julius Kambarage Nyerere in 1955. At this time I was assigned by Msgr. Gerard Grondin, Prefect Apostolic of the Prefecture of Musoma, Tanzania (formerly called Tanganyika) to open a new mission among the Zanaki Ethnic Group (formerly called tribe). When I first arrived in Tanzania...
Back
Top Bottom