mwalimu julius nyerere

The Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Swahili: Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere) is an award of the Tanzanian Honours System for retired presidents elected democratically. It is named after Julius Nyerere, the nation's first president.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Shariff Abdallah Attas na Mwalimu Julius Nyerere Sokoni Kariakoo

    https://youtu.be/XfpiwoY773Q?si=AatqVE4wrUgwhP7w
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kigoda cha Uprofesa Mwalimu Julius Nyerere cha UDSM champongeza Rais Samia kukuza diplomasia ya uchumi

    Washiriki wa mjadala wa kitaalamu ulioandaliwa na Kigoda cha Uprofesa Mwalimu Julius Nyerere cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamepongeza jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza diplomasia ya uchumi kupitia Sera Mpya ya Mambo ya Nje, wakisema ni kichocheo cha biashara ya...
  3. Mwande na Mndewa

    Polepole, Mpina na Hayati Magufuli ni kundi la itikadi ya Mwalimu Julius Nyerere

    Hawa ni wale wanaotembea na kufuata itikadi ya Mwalimu Julius Nyerere. Hawa hawawezi kupendwa na kundi la makabila, mabepari, na wezi wa mali ya umma. Kundi hili liliweza kutawala 2015 hadi 2020 baada ya kundi la makabila kusinzia, ila hawatasinzia tena.
  4. Ojuolegbha

    Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mkomazi.

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ndoto ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mkomazi. Mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha Wananchi zaidi ya 20,000 Wilayani Korogwe. Mradi huo...
  5. ranchoboy

    Mchango wa Mwalimu Julius Nyerere Katika Kilimo na Siasa za Kujitegemea: Urithi wa Maono Makubwa Kwa Taifa la Tanzania

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa la Tanzania, alitambua mapema kuwa maendeleo ya taifa changa la Tanzania hayangeweza kutegemea misaada ya nje pekee. Aliweka msingi wa falsafa ya kujitegemea, akiamini kuwa Tanzania inaweza kujenga uchumi imara kupitia rasilimali zake za ndani...
  6. masopakyindi

    Siasa Safi na Uongozi Bora: Sera hizi bado zipo?

    Kati ya vitu ambavyo tutamkumbuka Mwalimu Nyerere ni ule u thinker wake. Mwalimu si tu alikuwa na maono ya kisiasa, lakini kiuongozi alikuwa kama mcheza chess. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kufikiria mbele madhara au manufaa ya kile alichokuwa ana panga au kukipigia debe kisiasa. Na ndio maana...
  7. mzushi

    TANZIA Mzee Paul Sozigwa, aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Mwalimu Julius Nyerere afariki Dunia

    Yule Mzee Mkongwe na Gwiji la siasa l za Tanzania Mzee Sozigwa amefariki Dunia. Sozigwa alikuwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Mtoto wa Mzee Sozigwa, Mchungaji Moses Sozigwa alisema tatizo la kwanza lililokuwa likimsumbua baba yao ni kupoteza kumbukumbu. Baadaye...
Back
Top Bottom