Habari Wana Sheria?
Naomba msaada wa kisheria kuhusu kero za serikali juu ya upandaji madaraja( promotions)
Mwaka 2015 mwezi Novemba nilipokea barua ya kubadilishiwa daraja ( promotion) niliendelea kupokea mishahara wa zamani mpaka mwezi Mei 2016 ndo nikapewa mshahara mpya unaoendana na daraja...