mtoto wa museveni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ELI COHEN

    Mtoto wa Museveni, Jenerali wa Majeshi anasema ukimgusa mwanamke asiye na makalio makubwa unaenda moja kwa moja kuzimu, hakuna cha kukusaidia

    Ila huyu jamaa🤣🤣, nasikia ndio rais mtarajiwa wa UG
  2. McLaren

    Mtoto wa Museveni, Muhoozi: Namfuta Bobi Wine kushiriki kwenye shughuli zozote za Kiuchaguzi nchini Uganda

    Wakuu, Mkuu wa Majeshi Uganda, Muhoozi Kainerugaba, ameibua mjadala mkubwa baada ya kuandika ujumbe kwenye mtandao wa X akidai kuwa ana mamlaka ya kumzuia Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, kushiriki tena katika chaguzi za Uganda. Kupitia ujumbe huo uliowekwa mtandaoni Januari...
  3. R

    Muhoozi mtoto wa Museven alipongeza jeshi lake kwa kuwatesa wapinzani, atangaza kumteka Bobi Wine hadharani

    Mods tafadhalini msipeleke post hii jukwaa la Uganda, Lile jukwaa halipo active Hii leo taasisi ya haki za Binadamu Uganda imemuomba Muhoozi kumuachia Edward Mutwe, Mlinzi mkuu wa Bobi Wine (Mpinzani mkuu Uganda) aliemteka na kumpa mateso makali. Muhoozi alijibu LOO! Kama hawa watu...
  4. R

    Uganda hali si shwari: Mlinzi mkuu wa Bobi Wine aliyetekwa na mtoto wa Museveni afichua mateso zaidi ya 15 aliyoyapitia, hawezi kutembea wala kulala,

    https://x.com/HEBobiwine/status/1920087242871112128 Edward Mutwe, ambaye ni mlinzi mkuu wa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, alitekwa na mtoto wa Musebeni ( Muhoozi ) tarehe 27 Aprili 2025. Leo hii kafikishwa mahakamani akiwa kwenye hali mbaya sana anabebwa. Haya...
  5. Nyani Ngabu

    Hivi huyu mtoto wa Museveni dishi lake limeyumba nini?

    Huyu Kaneirugaba naona kama vile hazijamkaa sawa kichwani! https://youtu.be/geBJ2Qb-ytM?si=W_d1_OSATPupROkp
  6. ELI COHEN

    Mtoto wa Museveni: Kwa wanaojaribu kupigana na Uganda na Rwanda nawaonea huruma. Sisi ni watoto wa Mungu

    Sawa ndugu, ili usimuingize Yesu Kristo kwenye mambo yenu ya kijinga.
Back
Top Bottom