Hakuna kitu hatari kama uranium kuanzia kibailojia,kifizikia,kikemia na kivita.
Swala la kusema tuanze kuwa na vinu vya nyuklia ila turudi nyuma kama uwendeshaji utakuwa ni wa serikali basi ni kuleta maafa kama mlivyo fanya Mwendo kasi,bandari na n.k
Uranium itaki uccm wala wakina lucas...