Msako unaendelea nchini Pakistani kumtafuta mganga wa kienyeji anayedaiwa kushindilia msumari kwenye kichwa cha mwanamke mjamzito. Mwanamke huyo alifika katika hospitali ya Peshawar baada ya kujaribu kuchomoa msumari wa 5cm (inchi mbili) kichwani kwake.
Awali, aliwaambia madaktari kuwa...
Msingi wake ukiwa ni aina ya Siasa anazozifanya kijana huyu Mzalendo wa kweli wa Taifa hili zimekizolea umaarufu na heshima kubwa ndani na nje ya nje Chama cha Mapinduzi kwa kipindi hiki kifupi tangu kuteuliwa kwake,
Siasa zake za msimamo wa wastani na kuegemea zaidi kwenye kusikiliza...
Naomba nianze kwa kudeclare interest, mimi sina ushabiki na chama chochote cha upinzani. Wala sina itikadi ya chama chochote.
Tozo za makato ya kutumia mitandao ya sim sasa imepanda maradufu ukizingatia ni mda ambao serikali nyingi duniani zinatengeneza mazingira nafuu ya wananchi wake kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.