WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI WA MIJI 28 KATAVI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 13, 2026 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Kata ya Shanwe, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.
Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 22.8 umefikia asilimia...
Wananchi wa Mtaa wa Machimbo, Kata ya Mbezi, wameonesha furaha yao kufuatia utekelezaji wa mradi wa uboreshaji wa huduma ya majisafi wa Msakuzi–Machimbo hadi Makabe, unaolenga kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji iliyodumu kwa muda mrefu katika eneo hilo.
Akizungumza kwa niaba ya wakazi...
Kamati ya Siasa Wilaya ya Ubungo ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya hiyo, Mheshimiwa Rogat Mbowe wameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji Msumi ikisema mradi huo unakwenda kuwa muarobaini wa...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya, Longido mkoani Arusha.
Mradi huo unaotarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji hadi lita 4,100,000 kwa siku, unatekelezwa na mkandarasi M/s. Zongii Contractors...
Kando ya kingo za Mto Nzoia magharibi mwa Kenya, mabadiliko ya kimya kimya yanaendelea kuonekana na kukita mizizi. Mashamba ambayo hapo awali yalikuwa matupu, yakikauka kwa ukame na kuathiriwa na mafuriko yasiyotabirika, sasa yamenawiri huku yakiwa yamesheheni safu zilizostawi za mazao, kutokana...
Wakuu kwema
unaweza kufanya taratibu gani kuanzisha mradi wa kuuza maji katka jamii mfano ukauza island ila ukafunga kabisa na mifumo yote na mita utaratibu ukoje mpk ukamilishe kila ktu na faida yake inakuwa vipi msaada wakuu
Wakazi wa mtaa wa Maji ya Shamba wilayani Kondoa wameilalamikia KONDUWASA kwa kufunga mita kwenye mradi wa maji walioupata kwa msaada wa wahisani, wakisema mradi huo si wa serikali. Wameitaka mita ziondolewe ili waendelee kupata huduma kwa gharama nafuu.
Mwenyekiti wa mtaa, Emmanuel Jonas...
Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mradi wa Maji wa Same–Mwanga–Korogwe ulianza rasmi mwaka 2014 baada ya utafiti wa awali kuanza mwaka 2006, lakini ulikwama kwa takriban miaka 20 kutokana na changamoto za kifedha, usimamizi, na mabadiliko ya mikataba.
Soma pia: Rais Samia azindua Mradi wa...
Wananchi wanaonufaika na Mradi wa Maji Pangani - Kibaha wameipongeza Serikali kwa kuwatafutia suluhisho la tatizo la ukosefu wa maji lililodumu kwa kipindi kirefu katika maeneo yao.
Sauti hizo za Wananchi, wamezitoa takribani wiki moja kupita tangu Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar...
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekataa maelezo ya Mkandarasi na kumtaka aoneshe vitendo zaidi katika kazi ya utekelezaji wa mradi wa maji miji 28 Katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi; unaogharimu shilingi bilioni 22.863.
Akizungumza na Wananchi wa Mpanda baada ya kutembelea na kukagua eneo la...
SERIKALI kupitia Wizara ya Maji,imetoa Sh.815,453,185 ili kukarabati mradi wa Maji Dihimba utakaohudumia wakazi zaidi 7,489 wa Vijiji vya Dihimba,Mpondomo,Kinyamu na Ndumbwe vilivyopo Halmashauri ya Wilaya Mtwara Mkoani Mtwara.
Meneja wa Ruwasa Wilaya ya Mtwara Hamis Mashindike alisema,kati...
Mimi ni mdau wa JamiiForums, Mkazi wa Mbezi Msakuzi, Mtaa wa Makamba, jirani na Shule ya Msingi Makamba.
Mtaani kwetu tumepitiwa na mradi mpya wa maji kutoka DAWASA, pamoja na kwamba baadhi ya Wakazi wamepata huduma hiyo, bado eneo letu halijafikiwa, licha ya kuwa na nyumba nyingi zinazostahili...
MRADI WA MAJI NYAKAHURA TANK LA MAJI LITA 400,000.
Juu kushoto ni katibu wa CCM wilaya ya biharamulo Comrade Adam Soud na kamati yake wakiwa juu ya tank la maji nyakahura wakikagua mradi huo kuangalia jinsi ilani ya CCM 2010-2025 ilivyotekezwa ndani ya wilaya ya biharamulo chini ya uwakilishi...
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema mtu yeyote asiwagombanishe wananchi kwa sababu wakigawanyika hakuna maendeleo yanayoweza kufanikiwa.
Shigongo amesema atatangulia mbele ya wananchi waliomchagua na kwamba kama ni kuumia, yupo tayari kuumia kwanza kabla ya wananchi wake wa Buchosa...
Wakazi 6,000 wa kijiji cha Ulaya Kibaoni Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya maji safi na salama baada ya kukamilika ujenzi wa mradi wa usambazaji maji uliogharimu Sh milioni 174. 3 zilizotolewa na shirika lisilo la...
Waziri wa Maji Jumaa Aweso ametembelea na kukagua ujenzi wa Miradi ya Majisafi katika Kata ya Nala na Nkuhungu ili kuona maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo.
Katika ziara hiyo Waziri wa Maji ameambatana na Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde.
Aweso ametoa wiki...
Wananchi wa Kijiji na Kata ya Mangae, Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wameanza kunufaika na mradi mkubwa wa maji uliotekelezwa na Wakala wa maji safi na usafi wa Mangira Vijijini (RUWASA), wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600.
Mradi huo, unatarajiwa kuwahudumia...
Serikali inaendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya Singida na Dodoma, ambao unatarajiwa kukamilika ifikapo Juni 2025.
Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew, ameeleza hayo leo Aprili 14, bungeni jijini Dodoma wakati...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda leo tarehe 14 April, 2025 ameshuhudia utiaji saini wa mradi mkubwa wa maji safi wa Sinya - Namanga wenye thamani ya shilingi bilioni 13.5 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Ildonyo, kata ya Sinya Wilaya ya Longido akisema hatua hiyo inaenda...
Mradi wa maji wa Darakuta - Magugu - Mwada umetekelezwa kwa kutumia wataalamu wa ndani wa BAWASA (Force account) na kuwekwa jiwe la msingi Januari 25, 2022 na Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mradi huo ulianza kutekelezwa Sptemba 15, 2020 na kukamilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.