Wakuu,
Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.
Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.
Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.
Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka...