A motivational speaker is a speaker who makes speeches intended to motivate or inspire an audience. Such speakers may attempt to challenge or transform their audiences. The speech itself is popularly known as a pep talk.Motivational Speakers can deliver speeches at schools, colleges, places of worship, companies, corporations, government agencies, conferences, trade shows, summits, community organizations, and similar environments.
Iko hivi 2025 yote kila mwezi au miezi miwili nilikuwa naagiza mzigo mdogo China. Hii ni kama side business ambayo wateja wangu kwa uhitaji wao walinishauri niwaletee hivi vitu.
Mzigo wa mwisho nilitumia 1.8m kununua na mzigo kunifikia. Mzigo ulikuwa na items kama 185. Huu mzigo wote niliuza na...
Kuna vuguvugu la kuwaponda wazungumzaji wahamasisha maisha " motivational speaker '' KWA Wanaongea mambo ambayo wao wenyewe hawajayafanya".
Nimegundua wako sahihi. Wao hayo maneno wameyatafuta na ni Bidhaa kama zilivyobidhaa nyingine sokoni. Hawana haja ya kufanya, wewe unayesikia ndio...
Kelvin Kibenje ni Motivational Speaker kwenye ubora wake, ukifuatilia post zake kama akili yako ndogo utahisi jamaa ni genius kweli kumbe brain insight yake kuhusu reality ya biashara iko chini sana;
Hoja zangu kuhusu anayotufundisha ni Biashara gani ufanye utoboe kwa namna gani, changamoto...
Hawa motivational speakers ni watu wanaokula kwa kuuza matumaini yaliyovuka uhalisia kwa watu wanaojitafuta au kukata tamaa.
Unapoingia kwenye biashara kwenye nchi kama Tanzania umeingia kwenye competition ua kikatili sababu mazingira yamejaa rushwa, siasa, ndumba, sheria legevu, n.k. usipokuwa...
Ndugu wawili vijana waliojipatia umaarufu mtandaoni Tiktok kwa kuishi maisha ya kibilionea na wakitoa motisha kwa vijana wengine kupambana wakamatwa Dubai na Cocaine.
Nawapa test kama ile test nabii Eliya aliyowapa manabii wa mungu wa uongo Baali. Waiteni kwenye makusanyiko yenu amputees( watu waliopoteza mikono au miguu) muwaombee warudishiwe viungo vyao. Si mnahubiri kwamba kwenye madhabahu zenu kwa jina la Yesu miujiza inatendeka??
Na si mnaalika watu...
To whom brain 🧠 is given, Sense is expected.
Kitu au jambo unalodhani na kuona kwamba kwako ni mafanikio makubwa sana, Kwa mwingine bado ni kitu au jambo dogo sana.
Kuna wimbi kubwa sana la Motivational speakers ambao wao hujiona kwamba ndio wana uelewa mpana sana kuhusu suala zima la...
Mwanzo nilikuwa muumini mkubwa wa hawa wa kuitwa motivational speakers ilikuwa haipiti siku sijasikiliza mausia yao kuhusu maisha hasa hasa mbinu za kupata utajiri na kufikia malengo maishani.
Sikuishia kuwasikiliza tu nilienda mbali zaidi na kuyaishi maneno yao maana hawa jamaa wana principle...
Mark Zuckbereg - Facebook, Whatsapp, Instagram, n.k.
Bill Gates - Microsoft
Tayari walikuwa wametengeneza pesa, wana wafadhili wa projects zao...Wewe kijana unaetaka kuacha masomo kitu pekee unachomiliki kilaptop na simu unataka kuwaiga fikiria mara mbili, do your research.
Sio hivyo tu, hawa...
Ukifuatilia wengi wao hakuna biashara wanazofanya na hata wanachohamasisha ni copy & paste kutoka google na vitabuni. Hawa watu hawahitajiki.
Ni upuuzi wa hali ya juu kumlipa pesa Motivational speaker ili akuhamasishe kufanya biashara.
Matatizo tuliyo nayo yanatosha kutuhamasisha kupambana...
Mara baada ya kuweka malengo yako, kitu unachopaswa kuwa nacho ni pesa za kufanya malengo yako yatimie.
Vinginevyo hayo malengo yako yatakuwa kama pointi za Nyambari Nyangwine yaani Land alienation, Forced labour, Taxation, Low wages, Long working hours nk.
Motivational Speakers...
Kumekuwa na wimbi la motivational speakers kwenye social network mbalimbali hasa YouTube na Tiktok.
Hao jamaa wengine wanajiita life coach, wengine mentors na hata guru. Ukiwasikiliza stori zao za mafanikio nyingine haziendani na maisha ya jamii tunazoishi.
Unakuta mtu anasikiliza au...
Hawa motivational speakers, hivi wanatuonaje sisi wamekuwa watu wa kuzungumza vitu ambavyo ni impossible kwa kutuaminisha kuwa vinawezekana.
Kwa mfano: Kuna mmoja anasema alianza na mtaji wa mia tano mpaka sasa ana million 80 na ukimuangalia hafanani na hiyo million 80.
Tunawaomba mzungumze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.