mkuu wa mkoa mwanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Responded Mkuu wa Mkoa Mwanza asema anafuatilia madai ya ukiukwaji wa udahili katika Shule ya Nyanza

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema anafuatilia madai kuwa kuna taarifa za Shule ya Msingi Nyanga English Medium kukiuka taratibu za udahili na kwamba kuna mazingira ya kupeana nafasi ya Mwanafunzi kusoma hapo kwa njia ya “kujuana”. Kusoma hoja ya awali, bofya hapa ~ Kuna mazingira ya...
  2. W

    GE2025 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza: Tusikubali kutoa kauli sisi viongozi wa dini ambazo zinaweza kuleta madhara baadaye

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda, ameisihi jamii ya Kitanzania kuwaepuka watu aliowataja kufanya uchochezi wenye lengo la kuvuruga amani katika taifa, akisema ikiwa jamii na viongozi wataruhusu hayo, itasababisha madhara ambayo ni vigumu kuyashughulikia. Mtanda ameeleza hayo katika kongamano...
  3. W

    Mkuu wa Mkoa Mwanza na timu ya wataalamu Wizara ya Maji kupita nyumba kwa nyumba kukagua upatikanaji wa Maji

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza- Said Mtanda, Katibu Mkuu Wizara ya Maji- Mhandisi Mwajuma Waziri pamoja na timu ya wataalamu wa Wizara ya Maji wakipita nyumba kwa nyumba kukagua upatikanaji wa huduma ya majisafi baada ya kukamilika marekebisho ya mtambo wa kusukuma maji uliopata hitilafu, Mradi wa Maji...
  4. Waufukweni

    FFU wakabidhiwa Magari 8 na Mkuu wa Mkoa Mwanza kuimarisha Utendaji wa Jeshi la Polisi

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amekabidhi magari 8 aina ya Toyotaland Cruiser 2 Hardtop na Toyota Hilux Double Cabin 6 kwa Jeshi la Polisi mkoani humo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.3. Magari hayo yaliyokabidhiwa katika Viwanja vya Polisi Mabatini Jijini Mwanza, yatatumika...
  5. Mindyou

    PreGE2025 RC wa Mwanza Said Mtanda: Ambao hamkujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura msijali, zoezi litarudiwa

    Wakuu, Nikadhani zoezi la wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura lilikuwa limeshaisha. Naona leo RC kajitokeza kuja kuisemea tume! Akiwa anazungmza hivi karibun Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesema kuwa wananchi ambao hawakupata nafasi ya kujianfikisha mara ya...
  6. Mindyou

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza "ashtushwa" kufungiwa kwa kiwanja cha CCM Kirumba

    Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda, ameshtushwa kwa kufungiwa Uwanja wa CCM Kirumba na kuuagiza Uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza MZFA kuiandikia barua Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB kuja kukagua Uwanja na waainishe mapungufu yaliyosababisha Uwanja kufungiwa.
Back
Top Bottom