mke wa lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Mke wa Lissu kama anataka kumuona Mume wake aje Tanzania na siyo kujilalamisha kwa Wazungu huko wasioweza kumsaidia kitu

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kumpa Taarifa Mke wa Lissu kuwa kama anataka kumuona na kuonana na Lissu basi apande ndege na kuja Nchini ili aende gerezani kuonana naye na siyo kuongea ongea na kujilalamisha kwa wazungu kana kwamba amezuiwa kuja kumuona lissu Gerezani. Aache mara Moja...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Wakuu, Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini leo inafanyika Tanzania Kwa Documentary kama hizi, watu kama Dangote watakuja kuwekeza Tanzania...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mke wa Lissu abubujikwa machozi akitoa taarifa Kamati ya Haki za Binadamu EU

    Alicia Magabe Lissu, mke wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza katika Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026. https://youtu.be/ll2wwbGcOFI?si=W3TwYxnjA2tClQrR
  4. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Hilda Newton avunja ndoa ya Lissu

    Wakuu nimekutana na hii Post huko FB ina u uhalisia kiasi gani?
  5. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere ahoji, ulishawahi kumuona mke wa Lissu Mahakamani? ushawahi kuona mtoto wa Lissu? kuna kizuizi gani kinawazuia?

    Yericko Yohanesy Msambila Mkana Nyerere, mwanachama wa kweli wa CHAUMMA, anahoji kwa nini Mke wa Mheshimiwa Lissu haonekani Mahakamani lakini bado tunalazimisha Mheshimiwa Mbowe aonekane Mahakamani.
  6. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Mke na watoto wa Tundu Lissu hawajawahi kuonekana Mahakamani, je hii inaashiria nini?

    Ni siku zaidi ya 110 Tundu Lissu anashikiliwa na Mamlaka za Tanzania kwa mashtaka ya uhaini, lakini hatumuona wala mke wake wala mtoto akihangaika kumfuatilia mume/ baba yake. Je, hii inaashiria nini? -Wako busy na mambo yao? - Wanaogopa kashkash za Polisi -Au wameamua mwana kalifaindi mwana...
Back
Top Bottom