miradi ya umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Common Folk

    Kumbe "Clean Cooking Gas" ndiyo inayozuia miradi ya umeme isikamilike?

    Inasikitisha sana kuona miradi ya watu binafsi inasimamisha miradi mikubwa ya nchi ambayo ingesaidia vizazi na vizazi. Hawa wanaoitwa "Wanamtandao" ni MAADUI NAMBA 4 wa Tanzania baada ya UJINGA, UMASIKINI na MARADHI.
  2. Nipe Maji

    MD Twange akagua maendeleo ya miradi ya umeme Dodoma

    Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange Julai 18, 2025 amefanya ziara ya kuagua maendeleo ya Miradi ya umeme ukiwemo wa Njia ya kusafirisha umeme kutoka Zuzu hadi Mbande, Mradi wa kusambaza umeme ardhini katika mji Serikali na Mradi wa Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Mjini Mkoani...
  3. PendoLyimo

    PreGE2025 Rc Mtanda awataka wakandarasi REA kuharakisha utekelezaji miradi ya umeme jua visiwani

    RC MTANDA AWATAKA WAKANDARASI REA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME JUA VISIWANI Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amewataka wakandarasi wanaotekeleza mradi wa usambazaji wa mifumo midogo ya umeme jua katika maeneo ya visiwani kuhakikisha wanatumia muda vizuri na kukamilisha kazi...
  4. Ojuolegbha

    Ajira 31,148 zimezalishwa kwenye miradi ya umeme

    AJIRA 31,148 ZIMEZALISHWA KWENYE MIRADI YA UMEME Utekelezaji wa miradi ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme imezalisha ajira 31,148. Kwenye ajira Hizo wapo wanawake (4,915), wanaume (26,179) na walemavu (54). Kati ya ajira hizo, miradi ya uzalishaji iliajiri watu 4,018...
  5. J

    As-built site surveyor Naomba kazi/connection kwenye miradi ya umeme wa REA

    Habari waungwana, kijana wenu hapa naomba connection ya kazi. Nina uwezo na experience ya kufanya as-built site survey kwenye miradi wa kusambaza umeme vijijini. Natumia kifaa cha GPS, OPEN CAMERA, COMPUTER kuandaa report ya mradi inayoonyesha 1.Design Network 2.Number of poles, pole size...
  6. Nipe Maji

    PreGE2025 REA yakamilisha miradi ya umeme vijiji 5,259

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rea), Mhandisi Hassan Said ametangaza kukamilika kwa miradi minne mikubwa ya umeme inayolenga kuleta nishati katika vijiji 5,259, ikijumuisha vijiji 4,071 na vitongoji 188, katika awamu ya tatu, mzunguko wa pili. Miradi hii ni sehemu ya juhudi za...
  7. W

    PreGE2025 Serikali yatakiwa kuwalipa fidia wananchi waliopitiwa na Miradi ya kufua Umeme ya Ruhudji na Rumakali

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kutafuta fedha za kuwalipa fidia wananchi waliopitiwa na Miradi ya kufua Umeme ya Ruhudji na Rumakali, ili wananchi hao wapishe maeneo hayo na waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku wakati miradi hiyo ikisubiri...
Back
Top Bottom