Kwa mtazamo wangu, kuchoma ofisi za CHADEMA, lengo ni kuwa-prove CHADEMA wapandwe na hasira walipize kisasi wapate sababu ya kuishughulikia CHADEMA.
Nasema hivi kwasababu, ikitokea ofisi za chama fulani zimechomwa moto, baai CHADEMA watashukiwa kama mwewe na wale walio kimya wakati ofisi za...