This thing is getting serious, mwanzo wengi walibeza kuwa no Reform No Election ni upuuzi lakini sasahivi kila mtu anajionea ilipofikia.
Kuna kamchezo watu wachache wanacheza lakini hii kete wanayosukuma haina mashiko na inaweza ikisababisha matokeo mabaya.
Badala ya mifumo inayoongoza nchi...
Kwa haya mafuriko ya wananchi kwenye mikutano ya chadema ni wazi uchaguzi ukiwa wa haki chadema itanyakua bunge zima na ikulu yote sema amina.
chadema sio tu chama cha siasa ni imani ya kidini.
Vyombo vya Ulinzi visionee aibu hawa nyang'au ambao wanajidai wanajua Kingereza huku kichwani ni empty head.
Kama jana waliweza kusafirishwa kwa Wingi kuja kisutu bila shaka watakuja sana au wanakuja sana kwenye mikutano inayoendelea.
Kamwe wasiruhusiwe kuchafua amani na kumwaga damu Tanzania.
.
Kesi ya Malaika Lissu ni ya uhaini. Kwa urahisi wa maneno ni kwa kuzuia mamlaka kuendesha uchaguzi( hisia).
Lissu akiwa bado ndani, mikutano ya Chadema inaendelea nchi nzima. Maelfu kwa malaki wameunga mkono hadharani mambo yaleyale yaliyomtia ndani Lissu na sasa anataka kushtakiwa peke...
Je,
wametambua na kujiridhisha kwamba nonsense agenda ya no reform no elections haikiki, haiuziki, haieleweki wala kutekelezeka na wananchi wanaipuuza?
Au wamebaini kua mwenyekiti wao Taifa kusota korokoroni kwasababu ya uropokaji unaokiuka sheria ni agenda isiyo na mashiko, haibambi na...
TV station kubwa za Tanzania yaani ITV, AZAM, TBC, STAR TV na wengineo ni za kipuuzi sana. Nafuatilia kila siku naona mnaonesha vizuri sana hao mamluki wa G55 wanaojitoa CHADEMA na mnawapa Airtime nzuri kabisa, lakini mikutano ya CHADEMA inayoungwa mkono na wananchi na yenye nyomi huko mikoani...
Taarifa ya Chadema iliyosambazwa kote Duniani hii hapa
Pichani: Heche akiwasili Ubalozi wa Vatican Nchini Tanzani kutoa Rambi rambi kufuatia kifo cha Papa Francisisko
========
Hali ndio kama mnavyoona, kama Chamazi wamekubali wewe unabisha ili iweje?
Wakuu,
Polisi na CCM mnazidi kuboronga, mmeamsha dude, hamjifunzi kila wakati mnarudia kule kule!
====
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linadaiwa kuwazuia viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuendelea na mikutano yao, ikiwemo mikutano ya hadhara na mkutano na waandishi wa...
1. Kukosa Uwazi na Uwajibikaji wa Viongozi: Wananchi wanaposhuhudia viongozi wa CHADEMA kutokuwa na uwazi katika utendaji wao au kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu mikakati yao, wanapoteza imani na chama hicho.
2. Migogoro ya Kiutawala na Ugumu wa Kujenga Umoja wa Chama: Migogoro ya mara...
Kila mtu anajua kinachoendelea hapa nchini ikiwa ni jitihada za Serikali na CCM kuhakikisha Chadema hawafanikiwi.
Jana ktk Mkutano wa Nyamongo Tarime Uwanja wa Umma umefungwa na kulindwa na askari wenye silaha kwa lengo la kuzuia Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu asidanye mikutano.
Hata hivyo...
Kuelekea Siku ya vijana Duniani Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kufanya mkutano mkubwa Jijini Mbeya, katika hali ya kushangaza Jeshi la Polisi Nchini limetangaza kuzuia Mkutano huuo Ambapo wamekuja na hoja dhaifu kua matamko ya viongozi yanaleta taharuki.
Pia...
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwamba wa siasa za kisasa Barani Africa, Freeman Mbowe leo 14/07/2024 amefika Siha Mkoani Kilimanjaro, Katika Mwendelezo wa Chama chake kufundisha wananchi namna ya kulikomboa Taifa lao.
Amewaambia wananchi hao kwamba Njia pekee na ya Rahisi kabisa ya...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika operesheni ya siku 21 ya kukijenga chama hicho kanda ya Kaskazini inayoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Ndugu Freeman Mbowe imekutana na mahudhurio hafifu sana Jimbo la Vunjo, Moshi DC mkoani Kilimanjaro.
Hali hiyo imepelekea Mwenyekiti wa...
Hii ndiyo Taarifa Mpya ya sasa kutoka kwa Viongozi wa Kanda hiyo
Zaidi soma hapa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kufanya mikutano 105 katika mikoa minne ya Kanda ya Kaskazini katika Operesheni yake ya kukijenga chama huku wakitarajia kutumia ndege ‘chopa’ katika...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametegua kitendawili cha nini kilimpata baada ya kukamatwa Septemba 10, 2023 huku Polisi wakimtaka kuripoti baada ya mwezi mmoja.
Lissu, walinzi wake na baadhi ya viongozi wa chama hicho walikamatwa Septemba 11, 2023...
Nilikuwa namaikiliza mzee Msuya kwenye mahojiano. Amekubali kuwa Chadema wanaweza kujenga hoja kwa sasa kuliko CCM. Huu mtindo wa kugeuza udini na matusi ni mbinu za CCM ambazo hazina ushahidi wowote.
1. Bandari mkataba haujapata majibu ya maana
2. Kuhusu Ardhi za ngorongoro wamenyamaza
3. Bei...
Kwa kuwa yeye ni mwamba na amechagua kushindana na Serikali basi aache kulia Lia Bali ale
My Take
Namshauri Bwana Nay awe anapiga Show zake Kwa kutumia majukwaa ya chadomo atakuja kunishukuru.
https://www.instagram.com/p/CwvGRWYKxqk/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Ney wa mitego amewataka Baraza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.