miche ya miti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Tenda za miche ya miti

    Habari wanajamii, Natafuta Supplier wa miche ya miti ya mipaina kwa ajili ya kupanda kwenye shamba langu lililopo Mzenga Zegero, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani. Idadi ya miche inayohitajika ni takriban 5250 yenye urefu wa angalau futi moja. Supplier aliye na utayari awasilishe ofa ya...
  2. Dr Msaka Habari

    Naibu Waziri Masanja akagua mradi wa Kitalu cha Miche ya Miti Wilayani Magu

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza. Akizungumza leo Agosti 21, 2022 katika ziara, Masanja amewataka...
  3. pelezicr

    Unafikira kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI?

    Unafikiria kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI? •Hakikisha unatumia mbegu bora za miti. •Unaandaa kitalu katika eneo salama. •Udongo umechanganywa kwa uwiano sahihi. •Nguvu kazi yenye ujuzi na weredi. •Kuweka ulinzi kwa wanyama na wezi. Haya yote utayapata #MitiSmart kwa ghalama nafuu na ubora...
Back
Top Bottom