Katika kuazimisha Wiki ya Mama, ambayo inatambua na kuenzi juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, Viongozi na wanachama wa Kampeni ya Mama Asemewe walifanya ziara ya kipekee kwa abiria wa daladala mkoani Dar es Salaam, wakijumuika na wananchi kuzungumza na kuwafahamisha kuhusu mafanikio ya Rais...
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa na maana kubwa katika ustawi wa maisha ya Watanzania, akisema nchi imekuwa na umoja, utulivu na mshikamano.
January, ambaye ni Mbunge wa Bumbuli na Mjumbe...
Rais Samia aliapa tarehe March 21, 2021, baada ya Kifo cha Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli
Leo ametimiza miaka 4
Rais Samia amekuwa Bora kuliko mtangulizi wake Magufuli
Watanzania tulikuwa gizani kipindi cha utawala wa Magufuli,
Samia alikuta hali mbaya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.