mgogoro wa ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Waziri mkuu aagiza kiongozi wa CCM aliyetajwa kwenye mgogoro wa ardhi akikutwa na hatia avuliwe madaraka, siyo chama cha kunyang'anya

    Akiwa katika yake Nsimbo, Katavi Waziri Mkuu amepokea malalamiko ya mwananchi aliyedhulumiwa eneo lake na kumtaja kiongozi mmoja wapo wa CCM kuhusika katika mchakato huo ambapo Waziri Mkuu ameagiza kiongozi huyo achnguzwe na akibainika ameshiriki avuliwe uongozi. Amesema chama hicho siyo cha...
  2. Roving Journalist

    Rais Samia Akipokea Taarifa Ya Tume Za Rais Kuhusu Mgogoro Wa Ardhi Na Uhamaji Wa Hiari, Ngorongoro

    https://www.youtube.com/watch?v=kKU_Zsb_8bw
  3. Troll JF

    LIVE: Mheshimiwa Rais DK Samia Suluhu Hassan akipokea TAARIFA YA TUME ZA RAIS KUHUSU MGOGORO WA ARDHI NA UHAMAJI WA HIARI NGORONGORO.

    Watch https://www.youtube.com/live/kKU_Zsb_8bw?si=-QaqDHU-S9d8JH2Z Video Courtesy: State House
  4. Waufukweni

    Rais Samia apokea taarifa ya Tume za Rais kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari, Ngorongoro

    Rais Samia Suluhu, akipokea taarifa ya Tume za Rais alizoziunda kutathmini masuala ya mgogoro wa ardhi na utekelezaji wa zoezi la uhamaji wa hiari wa wakazi kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Machi 12, 2026, Ikulu Chamwino, Dodoma. https://www.youtube.com/watch?v=kKU_Zsb_8bw Mwenyekiti wa...
  5. BigTall

    Wananchi wadai DC wa Kilosa anasababisha maafa na hafuati Sheria, mwenyewe asema si kweli

    Wakazi wa Kata ya Chanzulu, Wilaya ya Kilosa, wamekiomba Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro kuingilia kati migogoro ya ardhi inayoendelea katika eneo hilo ili kupatikana suluhisho la kudumu. Ombi hilo limetolewa katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi, ulioandaliwa na...
  6. Waufukweni

    Mgogoro wa Ardhi Katoro: Mwenye hati ni CCM, sisi ni watoto wa CCM; tutashauri chama, mwekezaji anamuharibia Rais wetu

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Mwalimu Jumanne Misungwi, ametaka hekima na busara zitumike katika utatuzi wa mgogoro wa eneo linalodaiwa kuwa mali ya Serikali, akisisitiza umuhimu wa kufanya vikao vya ndani ili kupata suluhisho la kudumu. Misungwi ametoa kauli hiyo kufuatia...
  7. Mafyangula

    Petro Magoti atatua na kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 9 Kiluvya

    Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti atatua na kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 9 Kiluvya.
  8. bro alex

    DOKEZO Usinunue eneo Bagamoyo Udindivu Mapinga kuna mgogoro wa ardhi

    WATU SIJUI tuna SHIDA ipi, unaambiwa usinunue ardhi HAPO NYUMBA zaidi ya mia Saba zinataka kubomolewa kesi IPO mahakamani, MTU UNAENDA TENA kuulizia kiwanja SAA ZINGINE MATATIZO yanayo toke NYIE NDO CHANZO mwajitakia wenyewe. Full stop Kwishaaaa
  9. Wizara ya Ardhi

    Ndejembi aagiza kuundwa timu kushughulikia mgogoro wa ardhi kati ya wananchi na halmashauri

    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemwelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga kupitia ofisi ya Kamishna wa ardhi nchini kuunda timu kushughulikia mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Kitongoji cha Luhafwe na...
  10. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi Aingilia Mgogoro wa Ardhi kati ya Wananchi wa Lunyanywi na KKKT Njombe

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Aprili 3, 2025, amefanya ziara ya siku moja mkoani Njombe kwa lengo la kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya wananchi wa eneo la Lunyanywi na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania...
  11. Waufukweni

    Waziri Ndejembi atatua Mgogoro wa Ardhi Njombe, Wananchi na KKKT

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Aprili 3, 2025, amefanya ziara ya siku moja mkoani Njombe kwa lengo la kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya wananchi wa eneo la Lunyanywi na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania...
  12. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi aagiza kuundwa kamati kumaliza mgogoro wa ardhi Mwanza

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Mandeleo ya Makazi, Mhanidis Anthony Sanga kuunda kamati mara moja kwa ajili ya kushughulikia mgogoro wa ardhi wa kiwanja namba 01, Kitalu R kilichopo barabara ya Nyerere...
  13. Mindyou

    Kilimanjaro: Samia Legal Aid Campaign yatatua mgogoro wa ardhi uliodumu miaka zaidi ya 30

    Timu ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) imefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu miaka zaidi ya 30 na hatimaye kufikia tamati. Hayo yalijiri Februari 8,2025 baada ya timu hiyo kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, taarifa ya utendaji kazi ya...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Anusurika kifo kwa sababu ya mgogoro wa ardhi

    Musa Solela Ngasa (40), mkazi wa Kijiji cha Nhobola, Kata ya Talaga, Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga, amenusurika kifo baada ya kupigwa ubavuni na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa mshale. Akizungumza na vyombo vya habari, mhanga huyo amesema tukio hilo limetokea Januari 2025...
  15. Nyoka kibisa

    MGOGORO WA ARDHI RORYA: Makaburi mawili yajengwa inaposemekana hakuna makaburi kisha kuvunjwa na wasiojulikana

    Wadau mwaka jana mwanajf Suley2019 alileta habari hapa jf kuhusu mgogoro wa ardhi katika kijiji cha nyambogo wilaya ya rorya iliyopelekea mwili wa marehemu kutozikwa zaidi ya miezi 8. - Rorya, Mara: Mgogoro wa ardhi wasababisha marehemu kutozikwa tangu Januari 20, 2021 mpaka leo Naam kuna...
  16. M

    KERO Ruvuma: Waziri wa Ardhi tunakuomba uje Kata ya Liganga kutatua mgogoro wa ardhi, upimaji wa ardhi ufanywe upya, tunateseka

    Mimi Mkazi wa Songea Kijijini, Kata ya Liganga katika Jimbo la letu ambalo Mbunge wetu ni Jenista Muhagama, huku tuna changamoto ya ardhi. Miaka 10 iliyopita tuliuziwa eneo na Kijiji ambapo kipindi hicho kilikuwa kinaitwa Kijiji cha Liganga, tulilitumia eneo hilo kwa ajili ya kufanya kilimo...
  17. JanguKamaJangu

    Wakulima 2000 Kiteto wamuomba Rais Samia aingilie mgogoro wa Ardhi (Hifadhi ya Makame)

    Wakulima 2000 Wilayani Kiteto wamemuomba Raia Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro wao na hifadhi ya Makame WMA iliyodaiwa kupora maeneo yao waliyotumia zaidi ya miaka 15. Chanzo: EATV
  18. S

    DOKEZO DC wa Morogoro fuatilia Mgogoro wa Ardhi unaoendelea Mtaa wa Ngerengere B Kata ya Mkundi

    Salaam kwako Ndg Mussa Kilakala, DC na M/Kiti kamati ya ulinzi Wilaya ya Morogoro (Mjini naVijijini). Kuna mgogoro mkubwa wa Ardhi unaendelea ndani ya manispaa yako Mtaa wa Ngerengere B, kata ya Mkundi. Chanzo cha mgogoro, inasemekana; Ndg Chacha Kimweri (Mmasai & Mfugaji). Anadai kumiliki...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Rais Samia aunda Tume za Rais za Kutathmini Mgogoro wa Ardhi Hifadhi ya Ngorongoro na Kutathmini Zoezi la Uhamaaji wa Hiari katika Hifadhi

    Tarehe 01 Desemba, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokutana na viongozi wa kimila na jamii ya kimasai wanaoishi eneo la Hifadhi ya Ngorongoro alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda Tume mbili ambapo Tume ya Kwanza itafanya tathmini kuhusu masuala ya...
  20. Druggist

    Ni lini Kamishna msaidizi Tabora utamaliza mgogoro wa ardhi Nzega karibu na stendi kuu ya mabasi?

    Habari wadau wa JF. Natoa wito huu kwa Kamishna Msaidizi wa Ardhi Tabora, maofisa wengine wa kitaalam, na viongozi wa kisiasa, akiwemo Waziri mwenye dhamana ya Ardhi, Mkuu wa Mkoa, na Mkuu wa Wilaya. Mwaka 2009, kulifanyika zoezi la upimaji wa ardhi katika eneo la Kitongoji cha Sagara...
Back
Top Bottom