mgogoro chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Ubinafsi na tamaa chanzo cha mgogoro ndani ya CHADEMA

    Wakati watumishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchi nzima wakiwa na madeni juu ya stahiki zao, Makamu wetu JOHN HECHE analipa hadi laki 5 kwa usiku mmoja kulala katika hotel za hadhi ya nyota tano ndani ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam na Dodoma. Ndio ulichosoma, siyo ndoto, ni ukweli...
  2. Z

    Kusambaratika kwa CHADEMA ni dalili tosha kuwa bado tuna safari ndefu ya kuwa na vyama imara vya upinzani

    NCCR mageuzi ilikuwa na nguvu miaka ya 1995 ikasambaratika!! CUF miaka ya 2000 ikasambaratika. CHADEMA miaka ya 2015, leo hii imesambaratika na kufa kifo cha mende. Bado hatujapata vyama serious vya upinzani, wengi wao wanapigania maslahi ya matumbo yao na jamaa zao. Nimeamini kuwa CCM...
  3. Just Pray

    PreGE2025 Makalla: Kuna mgogoro mkubwa ndani ya CHADEMA, inaenda kufa, Heche msitafute mchawi

  4. Waufukweni

    PreGE2025 John Heche: Viongozi waliokatiwa mrija ndio wanaoleta chokochoko CHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara, John Heche amewataka wanachama wa chama hicho kutokuingia kwenye kile alichokiita mtego wa kukipasua chama. Soma: John Mnyika adai kuna hujuma za kuyumbisha harakati za 'No Reforms No Election' kufuatia pingamizi la uteuzi...
  5. Z

    Niliwambia kuwa "Chadema ni genge la wahuni" mkanitukana. Haya sasa kiko wapi?

    Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi. Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo. Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh...
  6. JamiiCheck

    SI KWELI LGE2024 Mbowe na Mnyika Waisifia TAMISEMI. Lissu atakiwa kuwapisha CHADEMA huku Fedha za Chama zikielekezwa uchaguzi kanda ya Kaskazini kisa chama hakina hela

    Mbowe na Mnyika Waisifia TAMISEMI. Lissu atakiwa kuwapisha CHADEMA huku Fedha za Chama zikielekezwa uchaguzi kanda ya Kaskazini kisa chama hakina hela.
  7. J

    PreGE2025 Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana. Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu. Mlale Unono 😃😃🔥 ====== Freeman Mbowe akikanusha...
  8. sonofobia

    PreGE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

    Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake. Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
  9. sonofobia

    PreGE2025 Peter Msigwa: Kuna tofauti kubwa kati ya kulinda chama na kumlinda mtu

    Mchungaji Peter Msigwa ameendelea kurusha jiwe gizani. Safari hii anawapa somo vijana walioingia juzi kwenye siasa wajue tofauti ya chama na mtu. Siku si nyingi chama cha familia kitamrushia virago. -- “Kuna tofouti kubwa kati ya kukilinda chama na kumlinda mtu, Kukipinga chama na kumpinga...
  10. uhurumoja

    Kwa huu mgogoro wa CHADEMA itabidi tuendelee kupenda mpira na story za tunda kimasihara

    Kwa muda mrefu sana toka wakati wa Chacha Wangwe, Zitto n.k CHADEMA kimekuwa chama rigid na kisichokubali kabisa kukosolewa hasa kupitia wafuasi wake ambao ukijaribu kukosoa utashambuliwa sana. Sasa kwa wale wanaojua siasa za nchi hii chadema ndio inazama. Yah, kama jua la jioni upande wa...
  11. J

    CHADEMA ni kama CCM, akija Mwenyekiti Mpya anaingia na Timu yake na hiki ndicho wanachoogopa Mrema, Maranja na Boniyai!

    Mifano kwa CCM iko wazi akiingia Mwenyekiti Mpya anaanza Kusafisha Sekretarieti ya Chama na kuingiza Jamaa na Rafiki zake kadhalika Chadema itakuwa hivyo Sasa wale wanaolisha na kusomesha watoto kupitia Ruzuku ya Chadema wanaona Mbowe akistaafu na wao hawana maisha Hawa ndio wanamng'ang'aniza...
  12. Allen Kilewella

    PreGE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

    Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA. Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti...
Back
Top Bottom