mfumo wa pepmis

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi TTCL walia na Mfumo wa PEPMIS, wadai Mameneja hawapitishi tathmini zao

    Sisi watumishi wa TTCL Corporation tunakabiliwa na changamoto kubwa licha ya kutekeleza majukumu yetu kwa bidii na kujaza taarifa za utendaji kazi kwenye mfumo wa ESS Utumishi (PEPMIS) kama inavyotakiwa. Tatizo linalotusumbua ni kwamba baadhi ya viongozi wetu, hususan Mameneja, hawapitishi...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Matamko ya CWT kuhusu Mfumo wa PEPMIS yanatuchanganya, Serikali iweke wazi kuhusu upandishaji wa madaraja ya Walimu

    Napenda kuwasilisha waraka huu nikiwa miongoni mwa Walimu wengi nchini ambao wameathirika kwa taarifa zinazotolewa na Chama chetu kuhusu utaratibu wa kupandishwa madaraja kwa kutumia Mfumo wa Public Employee Performance Management Information System (PEPMIS). Hivi karibuni, CHAMA CHA WALIMU...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Chungu tamu na PEPMIS

    WALIMU WALIA NA MADARAJA 2025 MFUMO WA PEPMIS ULIOKUWA KWENYE MAJARIBIO UMEWAHUKUMU WASIPANDE MADARAJA. Walimu wanalalamikia kutokupanda madaraja(P
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigoma Ujiji hawajauelewa vema mfumo wa PEPMIS

    Serikali ilianzisha mfumo wa ESS UTUMISHI Kwa ajili ya kurahisisha utendaji serikali. Katika kipengele cha kupima utendaji wa mtumishi (PEPMIS), Wakuu wa idara Halmashauri ya Kigoma Ujiji hawajui chochote, hili limepelekea watumishi wa ngazi za chini alama zao kusoma 0% na huku mtumishi yeye...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Viongozi wa Idara Morogoro hawajauelewa vizuri Mfumo wa PEPMIS, tunaumia sisi Watumishi wa chini

    Serikali ilinzisha Mfumo wa Public Employee Performance Management Information System – PEPMIS lengo likiwa ni kurahisisha utendaji kazi na kuweka uwazi kwa kuwa inajulikana wazi suala la Urasimu ndani ya Taasisi za Serikali zipo kwa kiwango cha juu. Kwa wenzangu ambao hawafahamu, Mfumo huu wa...
  6. sindano butu

    JamiiForums Tanzania Hasara za PEPMIS kwenye haki za watumishi

    Hongera sana serikali kuanzisha pepmis ambayo imekuwa chachu kwa huduma za utumishi kupatikana kidigitali. Pepmis imerahisisha sana kwa serikali kuona watumishi wao wanayofanya kila siku. Lakini ingawaje Pepmis imeonekana na faida lakini imekuwa fimbo kukosesha watumishi haki zao. Mtumishi...
Back
Top Bottom