Kabla ya ujio wa Wazungu barani Afrika,Waafrika walikua na mfumo wao wa elimu kwa vitendo kulingana na mazingira.
Elimu kama ya Uvuvi,madawa,kilimo,ufugaji,maadili zilikua zikitolewa na uchumi ulikua ukikua kwa kasi.
Ujio wa Wazungu barani Afrika ukasababisha ukoloni na baada ya miaka ya...
South Africa ina moja ya Jeshi la Polisi lenye vitendea kazi bora kabisa kwa Bara la Afrika lakini angalia uhalifu.
Hawa Panya Road tunajidanganya wataisha kwa kuongeza nguvu na kumwaga polisi wa kutosha mitaani, hii ni zima moto tu, je chanzo cha hao panya road ni kipi? Je, watawala wana dili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.