meddie kagere

  1. Damaso

    Huna baya MK14 Meddie Kagere

    Took a ride to the end of the lane………Where no one ever goes……. Ended up on a broken train with nobody I know……But the pain and the longing’s the same……. When you’re dyin’……Now I’m lost, and I’m screaming for help alone…. Relax, take it easy! Wengine wanamfahamu kama MK14, au kitu na box! Wapo...
  2. GENTAMYCINE

    Wangapi tumependa Maneno aliyoyaandika Mchezaji Meddie Kagere katika 'Flana' yake Jana?

    "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI" Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko...
  3. M

    Meddie Kagere asema haondoki bongo, atacheza hata championship

    Kweli bongo tamu,machozi yamemtoka akipewa mkono wa kwa heri na Simba ila amesema haondoki bongo atapambana apate timu hata kama ni championship league
  4. GENTAMYCINE

    Baada ya anayejiita Wakala wake Kulikoroga Mchezaji Meddie Kagere amtuma msemaji wa Simba SC Manara kuusema ukweli wake huu kwa Wanasimba

    "Kama Mchezaji wa Simba SC nimesikitishwa sana na Kauli za huyu Patrick Gakumba kuhusu Mimi na Uhusiano wangu na Kocha Gomez " "Nikiri tu kwamba namjua Patrick Gakumba ila nashangaa ni kwanini kila mara anajitokeza kudai ni Wakala wangu " "Ukweli ni kwamba Patrick Gakumba si Wakala wangu bali...
  5. B

    Yanga mnunueni Kahata, Kagere, Ame, Dube na Mkude

    Yanga kama wanataka kuongeza kikosi chao waongeze wachezaji wafuatao kutoka Simba. Kahata ni bonge la mchezaji ila Simba hana namba, Kagere the same, ame bonge la beki tatizo namba ni issue, mkude kupata namba tangu aje lwanga imekuwa shida. Striker mchukue Dube, kutoka Azam, mchukueni striker...
  6. GENTAMYCINE

    Wakala wa Meddie Kagere, Mnyarwanda Patrick Gakumba atoa siri nzito za Kocha wa Simba SC Didier Gomez Da Rosa

    "Huyu Kocha nimejuana nae Siku nyingi hata kabla ya kuja hapo Simba SC. Anafanya mambo ambayo najua yatakuja Kumrudia na ataumbuka kwani hata Mwenyezi Mungu anayaona na atamuadhibu. Ana Chuki Binafsi na Mimi kwakuwa nilikataa Kumpigia Chapuo kwa Ushawishi wangu mkubwa katika Soka la hapa nchini...
  7. SankaraBoukaka

    TFF na BMT mpo serious kweli? Hivi Kagere na Morrison wanaliuaje Soka letu?

    Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu. Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa vipaji tulivyonavyo. Kama tukiweza kusimamia hilo hata hao wa nje hakuna atakaosumbuka nao. Cha muhimu...
Back
Top Bottom