mbulu

Mbulu is a town in Tanzania and the capital of the Mbulu District. The town is inhabited by the Iraqw people. The Roman Catholic Diocese of Mbulu is also in Mbulu.
Mbulu is located in the Mbulu Highlands. The town, also known as Imboru among the Iraqw speakers, is the core of the Iraqw people, who speak a Cushitic language.
Mbulu was founded by Germans in 1907 when they colonized former German East Africa (Tanganyika, Burundi and Rwanda).
Mbulu's climate favoured Germans, and the hospitality of the indigenous people favoured them. Germans were less harsh to the Iraqw people than to the rest of the Tanganyikans. Thus Iraqw were used by Germans on white-collar jobs. Today most Afro-German with Tanzanian ancestry are Iraqw from Mbulu. During the British regime, Mbulu peasants were able to form trade unions, particularly the Mbulu Wheat Growers association (1923).
The main economic activities in Mbulu are agriculture and trade. Mbulu area is one of the earliest wheat-growing plantations.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Hiki kilichowekwa ktk barabara za miji midogo ndani ya Wilaya ya Mbulu ni Lami au kitu gani?

    Wilaya ya Mbulu ina miji midogo miwili Haydom na Dongobesh ambayo sehemu ya miji hiyo pamoja na mji wqa Mbulu amabayo ndiyo makao makuu ya wilaya barabara zake zimewekwa kitu kinachofanana na lami. Naomba kujua kuna aina ngapi za lami, maana lami iliyowekwa ktk miji hii haifananni na lami...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hizi zilizowekwa katika barabara za miji ndani ya Wilaya ya Mbulu ni Lami au Kitu gani?

    Wilaya ya Mbulu ina miji midogo miwili Haydom na Dongobesh ambayo sehemu ya miji hiyo pamoja na mji wqa Mbulu amabayo ndiyo makao makuu ya wilaya barabara zake zimewekwa kitu kinachofanana na lami. Naomba kujua kuna aina ngapi za lami, maana lami iliyowekwa ktk miji hii haifananni na lami...
  3. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Manyara: Basi la Mohammed Classic lapata ajali na kusababisha vifo vya watu wanne na majeruhi 26

    Basi kampuni ya Mohammed Classic ya kutoka Arusha-Kigoma imepata ajali Eneo la Gehandu Hanang mkoani Manyara. ============================== Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesema: "Ajali hiyo imetokea imetokea Kijiji cha Ming’enji Wilaya ya...
  4. LESIRIAMU

    JamiiForums Tanzania Zacharia Isaay (Mbunge Mbulu): Serikali iache kigugumizi ieleze wazi kuhusu ugonjwa wa kupumua unaomaliza watu wa Mbulu

    Mbunge wa Mbulu Mjini (CCM), Zacharia Isaay ametaka Serikali ya Tanzania kueleza wazi kuhusu alichokiita ugonjwa wa kupumua ambao anasema unamaliza watu wa Mbulu. Isaay amezungumza kwa hisia kali bungeni leo Alhamisi Februari 11,2021 akisema hawezi kuzungumzia mpango badala yake anaona bora...
Back
Top Bottom