Mheshimiwa Anthony Mavunde,
Nitumie nafasi hii kukupa salamu na pongezi kwa jitihada zako kubwa katika kuimarisha maisha ya vijana wa Dodoma kupitia nafasi yako ya uongozi.
Mimi ni kijana mkazi wa Dodoma, mjasiriamali, na mshiriki wa mashindano ya Mavunde Cup. Hata hivyo, kuna jambo ambalo...