matumizi ya nguvu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Upinzani walalamikia serikali matumizi ya nguvu kupita kiasi kuvuruga mikutano yao

    Wakizungumza Jumapili Februari 22, 2026 katika ibada ya kanisa la PCEA Utawala jijini Nairobi, Viongozi wa Upinzani Kenya Wamedai kuwa serikali kupitia polisi na magenge ya vijana imekuwa ikivuruga mikutano ya kisiasa ya Upinzani, ambapo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Fred Matiang'i alihoji...
  2. M

    Tume inayojichunguza itasaidia nini kuliponya taifa? Ushuhuda uliotolewa unaonyesha watu waliuliwa na nguvu kubwa ilitumika.

    Mfano mzuri ni ushahidi wa yule bibi wa Magomeni kota ambae alilazwa na maiti bahati nzuri akazinduka na akapatiwa matibabu Mungu akamsaidia akapona. Kwa ujumla nguvu kubwa ilitumika kulinda watawala wabaki madarakani. Mpaka sasa Tume inayojichunguza itasaidia nini kuliponya taifa?
  3. M

    GE2025 Thabit Kombo: Mpaka sasa hakuna matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29. Akizungumza na kituo cha televisheni cha Al-Jazeera siku ya Ijumaa, Waziri Kombo amesema hadi sasa hakuna...
  4. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Vyombo vya Dola, Mna uhakika Samia hatoendelea kuwaingiza kwenye mtego wa matumizi ya Nguvu na Uvunjifu wa Haki za Raia?

    Hili Swali nililiuliza Punde tu Samia alipojiteua kua Mgombea !!. ( Unajua Mtego anaowaingiza Samia, utawafanya Vyombo Dola mnuke Damu za watu, matokeo yake mtajikuta mko Blackmailed, in turn mtajikuta nanyinyi mmeamua kutumia Mbinu za Uovu ili kuendelea kubakia Madarakani, mkiogopa kuchukuliwa...
  5. Dr Adam Francis

    Rais Samia, matumizi ya nguvu dhidi ya upinzani yanakubomoa kisiasa

    Changamoto kubwa kuliko zote ya kazi ya siasa ni uvumilivu wa kukosolewa, wakati mwingine hata kuvunjiwa heshima. Ni wazi kuwa ushindani wa kisiasa haupo tu katika uwezo wa kuandaa na kuinadi ilani nzuri ya uchaguzi bali ni pamoja na kuwa na ustahimilivu wa kupokea changamoto za upinzani bila...
  6. T

    PreGE2025 Matumizi ya nguvu hufanikiwa kudhibiti wezi na vibaka ila hayawezi kudhibiti mawazo, hata ungewapiga vipi watu watabaki na mawazo yao! Wasikilize!

    Tuna mifano mingi duniani inaonyesha kwamba njia rahisi sana na ya kudumu yenye afya pia ni njia ya kukaa chini na kuzungumza. Tuna mifano mingi sana ambayo inaonyesha matumizi ya nguvu licha ya kuacha maumivu na makovu na majeraha kwa pande zote ila hayazimi mawazo yanayopiganiwa. Pia soma...
  7. JanguKamaJangu

    PreGE2025 LHRC yakemea kamatakamata na matumizi ya nguvu yanayoendelea dhidi ya Viongozi wa kisiasa, Wanahabari na Wananchi

    KAMATAKAMATA NA MATUMIZI YA NGUVU YANAYOENDELEA DHIDI YA VIONGOZI WA KISIASA, WAANDISHI WA HABARI NA WANANCHI Dar es Salaam, 24, Aprili 2025 Leo tarehe 24 Aprili 2025 ni siku iliyopangwa kwa ajili ya usikilizwaji wa kesi ya inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
  8. Mtoa Taarifa

    Rais Ruto akiri kuna matumizi ya nguvu kubwa kwenye vikosi vya ulinzi vinapokabiliana na Wananchi

    President William Ruto on Tuesday acknowledged abuses by Kenya's security forces, in the wake of demonstrations against a recent wave of alleged kidnappings that have sparked outrage in the country. Security forces in the East African nation have been accused of carrying out dozens of illegal...
  9. Just Pray

    IGP Wambura: Jeshi la polisi litazingatia sheria na kupunguza matumizi ya nguvu

    Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua...
  10. El Roi

    Serikali, matumizi ya nguvu sana ni ishara ya kupoteza uhalali wa kuongoza

    Katika falisafa ya Uongozi Matumizi ya nguvu sana huwa siyo jambo linalopewq kipaumbele. Mwanafalsafa mmoja aliwahi kufananisha Matumizi ya nguvu na Sabuni. Unajua kadiri unavyoitumia sana sabuni ndivyo inavyoishia na Mwisho kwa sababu unaitumia sana utajikuta imeisha. Ninapoitazama nchi yetu...
Back
Top Bottom