matumizi mabaya ya madaraka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Nini Chimbuko la Matumizi Mabaya ya Madaraka Tanzania?

    Kwa nyakati tofauti kumekuwa na Viongozi walionukuliwa wakisema "Nchi hii imechezewa sana, Nchi iligeuzwa Shamba la Bibi lakini wahusika hawatajwi. Wapo waliowahi kutoa kauli za Vitisho ikiwemo Unanijua Mimi ni Nani?" na wengine waliwahi kutuhumiwa kutumia Mamlaka yao kuvunja Sheria za nchi...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Sauti ya Vijana: Nini Chimbuko la Matumizi Mabaya ya Madaraka Tanzania?

    Matumizi Mabaya ya Madaraka ni suala mtambuka linalohusisha matumizi yasiyo sahihi ya mamlaka aliyopewa mtu, au kundi fulani hasa katika nafasi ya utawala au uongozi. Matumizi Mabaya ya Madakaraka yanaweza kuonekana katika maamuzi yanayokiuka Sheria, Kanuni au miongozo iliyopo, matumizi mabaya...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mamlaka inawezaje kumshikilia mtu aliyejisalimisha kulipa City Service Levy?

    Nauliza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo wanatoa wapi nguvu ya kumshikilia mfanyakazi wa kampuni kwakuwa kampuni haijalipa CSL na huyo mfanyakazi ameenda hapo ofisini kwao kwaajili ya kuomba kulipa kwa installments?
  4. Wambandwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    KWA NINI WATANZANIA WENGI NI MASKINI? Sijawahi kumwona Mtanzania kwa wakati wowote ule ameondokana na umaskini, umaskini ambao sasa ni mkubwa mno na unakaribia kutudidimiza. Binafsi nauchukulia umaskini kama kukosekana kwa mahitaji ya lazima ya kila siku kwa mwanadamu: malazi mazuri, chakula...
Back
Top Bottom